True kama kweli anatubu ilibidi now awe anahubiri din yake zaidi kuliko anatubu na bado mambo kibao nje ya din yake, ingekuwa sisi wakristo angekuwa anaimba nyimbo za dini kabisaa na kuhubiri nenoKutubu Ni kujuta, kughairi Na kugeuka; haya yakikamilika moyoni mwako Toba imekamilika.