nimekupa like kwasababu hujaelewa mada ma dearest. huyu eiyer aliyekwenda kulalamikiwa ni mtu baki manake demu ni wa mshkaji wake na eiyer na mimi namshangaa binti kwenda kulalamika kwa mtu ambaye wakiwa wanapeana raha wala hata hashirikishwi ila wakati akikosa kupewa hela ndo anamfuata kulalamika.
Wakati anapokua amechacha anakua anaishi kwa nani?
Kama yuko kwao,mahitaji MUHIMU wazazi wake wanayaweza.Kama hana kazi na anajitegemea tht's onother case,but badala ya kuomba hela na kulazimisha ni bora aniombe nimtafutie shughuli ya kufanya!
Utakuta demu anakuzungusha hakupi K alafu anakupigia simu kabana sauti yuko mme nna shida na elfu 50.
Kaizer ma swtlo nakuja baba nimekumiss sana nlijua pancha leo badoKwanza naomba nitambue uwepo wa ma sweetlo gfsonwin na mchango wakr kuntu, mwaaah. Nitambue mchango wa woote hapa hasa nyumba kubwa, Eiyer, Purple, Catherine, Kunta Kinte, Kaunga na wengneo.
Niseme tu siku hizi kuna wanawake aina mbili wanawake pesa na wanawake kawaida inapokuja kwen mapenzi.
Kama walivosema wengine kwa mwanamke ni kujiaibisha sana kama unaonekana kumfanya mwenzio ATM , i mean unampigia anaishia kukwambia "niricharge" while ilikuwa salam tu, au "simu imeibiwa ya tigo nipe basi walau elf 50 nikanunue kitochi," au leo nina hama ya chips samaki wa mlimani city hebu ni mpesa kidogo" au umeoka naye anakwambia " unajua home dada ana kiu kweli ameomba kuku na savannah 3" khhaaa! Pamoja na kukera vinaudhi hata kama
Mtu unazo unaweza kumpotezea maana malengo yake sio kabisa.
Nakubaliana na dharura flani flani ambazo ni genuine na sio vitu routine kama hivyo na unncessary, afu sasa tuma vocha uone kama utapigiwa lol mkiwa wote unaweza kushangaa tu yuko busy na mtu mwengine kwn simu and the like, kidude kwa mbinde nk hao ndo wanawake pesa sasa! Upo apo Purple, wasikilize uzur gfsonwin na nyumba kubwa!
So ladies tambueni uhusiano ni wenu wawili mtu akistukia unaplay a dounle game baas kama ana akili anapotezea wapo ladies genuine kabisa hawana mambo hayo unampa mwenyewe fweza sio kama hongo but kama shukran na vizawaid coz unaona kuna fairness kwen uhusiano lol
Sijui hata nimeelewek gfsonwin come this way mamito kwa pm.