Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Ni asubuhi hii. Umbea nao hauniachi!
Ni hivi! Jamaa yangu kaja hapa anatweta ka vespa ama tukutuku vile!
Ananisimulia yalomkuta over weekend! Yeye na mkewe walikuwa wamealikwa kwenye harusi nje ya huu mji tukaao. Kukawa kuna shoga yake na mkewe ambaye wanamchukulia kama a very close family friend. Huyo mdada ana mtoto mmoja na hajaolewa. Wamekuwa naye kwa kitambo sasa na anayo kazi nzuri tu. Sasa hii mambo ya kuchangia harusi huku uswahilini naye huyu shoga wa mkewe akawa naye kachangia. Siku mbili kabla ya harusi shoga wa mkewe akaomba aongozane nao kwenye gari yao maana haina maana kwenda na gari mbili while wanaelekea kwenye shughuli moja. Wakamkubalia. Wakasafiri! Wakapanga hoteli moja, jamaa na mkewe double self moja la maana tu, yule mdada akachukua single yake fresh! Sasa basi ile siku ya harusi mwanaume si akawaaga kuwa wanatakiwa ukumbini mida ya saa nne hivi maana naye ni mmoja wa wanakamati! Hotelini akabaki mkewe na yule dada. Akaenda ukumbini kule mambo yakaenda chapchap jamaa akaamua kurudi hotelini kujipumzisha mpaka mida iende.
La haula alichokuta hakuamini macho yake! Mke wake na shoga yake walikuwa kama walivyozaliwa! Wanapeana mahaba ka vichaa vile. Jamaa hakusema kitu wakaendelea mpaka walipomaliza yeye kasimama tu anawaangalia. Kuja kushtuka jamaa keshawaona.
Unajua tena fumanizi nifumanizi tu! Ooooh shetani tu, haturudii tena! Mambo kibao! Jamaa akaingia akachukua nguo zake na wala hakusubiri harusi na kurudi kwenye mji wake. Mke anaambiwa naye karudi kwa wazazi wake. Yule shoga wa mkewe hajaonekana mtaani kwao.
Jana jumapili mke akatuma dada yake mkubwa aje amuombee samahani! Jamaa akamuuliza dada yake kwani kakosa nini? Eti dada mtu hata hakuambiwa kosa lenyewe!
Jamaa yuko njia panda maana bado ana kichefuchefu mpaka sasa maana alimshuhudia mkewe akizama chumvini laivu hali kadhalika yule shoga yake naye alikuwa amezama chumvini kwa mkewe pia.
Sasa afanyeje! Msaidieni jamani!
Ni hivi! Jamaa yangu kaja hapa anatweta ka vespa ama tukutuku vile!
Ananisimulia yalomkuta over weekend! Yeye na mkewe walikuwa wamealikwa kwenye harusi nje ya huu mji tukaao. Kukawa kuna shoga yake na mkewe ambaye wanamchukulia kama a very close family friend. Huyo mdada ana mtoto mmoja na hajaolewa. Wamekuwa naye kwa kitambo sasa na anayo kazi nzuri tu. Sasa hii mambo ya kuchangia harusi huku uswahilini naye huyu shoga wa mkewe akawa naye kachangia. Siku mbili kabla ya harusi shoga wa mkewe akaomba aongozane nao kwenye gari yao maana haina maana kwenda na gari mbili while wanaelekea kwenye shughuli moja. Wakamkubalia. Wakasafiri! Wakapanga hoteli moja, jamaa na mkewe double self moja la maana tu, yule mdada akachukua single yake fresh! Sasa basi ile siku ya harusi mwanaume si akawaaga kuwa wanatakiwa ukumbini mida ya saa nne hivi maana naye ni mmoja wa wanakamati! Hotelini akabaki mkewe na yule dada. Akaenda ukumbini kule mambo yakaenda chapchap jamaa akaamua kurudi hotelini kujipumzisha mpaka mida iende.
La haula alichokuta hakuamini macho yake! Mke wake na shoga yake walikuwa kama walivyozaliwa! Wanapeana mahaba ka vichaa vile. Jamaa hakusema kitu wakaendelea mpaka walipomaliza yeye kasimama tu anawaangalia. Kuja kushtuka jamaa keshawaona.
Unajua tena fumanizi nifumanizi tu! Ooooh shetani tu, haturudii tena! Mambo kibao! Jamaa akaingia akachukua nguo zake na wala hakusubiri harusi na kurudi kwenye mji wake. Mke anaambiwa naye karudi kwa wazazi wake. Yule shoga wa mkewe hajaonekana mtaani kwao.
Jana jumapili mke akatuma dada yake mkubwa aje amuombee samahani! Jamaa akamuuliza dada yake kwani kakosa nini? Eti dada mtu hata hakuambiwa kosa lenyewe!
Jamaa yuko njia panda maana bado ana kichefuchefu mpaka sasa maana alimshuhudia mkewe akizama chumvini laivu hali kadhalika yule shoga yake naye alikuwa amezama chumvini kwa mkewe pia.
Sasa afanyeje! Msaidieni jamani!