Baby Nimah
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 701
- 747
- Thread starter
- #21
Wote tunabadili madem bana...ambaye hafanyi hayo anyoshe mkono juu ajifanye anajikuna.....
Kumbe ndo tabia zenu eeeh
Wote tunabadili madem bana...ambaye hafanyi hayo anyoshe mkono juu ajifanye anajikuna.....
Mie atanipata wap!???Hata wewe ukiingia kwenye 18 zake lazima achuje nafaka.
Hatuwezi wadanganya huo ndio ukweliKumbe ndo tabia zenu eeeh
Dunia kijiji kimoja,Binadamu sio milima hukutana...Oneday yes.Mie atanipata wap!???
Ikitokea hivyo itakua vizuri sana,maana inaweza saidia kuongeza competition katika NBA,pia itapunguza malalamiko yaliyopo kutoka kwa mashabiki wa timu zingine dhidi ya uonevu wa hii super team(GSW)Next season he will either be in NY or LA.
List itaongezeka zaidi.
Ikitokea hivyo itakua vizuri sana,maana inaweza saidia kuongeza competition katika NBA,pia itapunguza malalamiko yaliyopo kutoka kwa mashabiki wa timu zingine dhidi ya uonevu wa hii super team(GSW)
Ila kuna wakati nakuwa na mashaka kama Durant anaweza kukubali kuondoka GSW kirahisi,maana ushindi mtamu broh..!
Kuwa kwenye team inayokuhakikishia ring kila mwaka nayo ni moja kati ya ndoto za kila mchezaji wa NBA...
Ngoja tuone KD ataamua nini..!Kuna kelele kwamba KD anatakiwa awe na timu yake kwa ajili ya kutengeneza legacy, kwa sababu ana rings tayari nadhani anaweza kufanya huo uamuzi. Na sana sana anaweza kwenda NY.
Ngoja tuone KD ataamua nini..!
Ila pia mahusiano na wachezaji wenzake wa GSW yanaweza kusaidia katika maamuzi yake..!
HahaaIdadi yenyewe ndoooogo kulinganisha na Mimi mvivu wa kugegeda maduu lakini namzidi hapa nilitarajia kuona list ya mademu kuanzia buku na kuendelea...
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhimu ni anafanya vzr katika timu yake basi hayo mengine ni maisha yake atajijuaCALIFORNIA, Marekani: NYOTA wa NBA, Kevin Durant, amezidi kwa warembo, kwani taarifa zinasema sasa anatoka na modo Sabrina Brazil.
Taarifa zinanyetisha kuwa mkali huyu wa timu ya Golden State Warriors amekuwa akitoka na mrembo Sabrina tangu alipotengana na mrembo mwingine, Cassandra Anderson.
KD, 30, pia amekuwa akihusishwa kimapenzi na mpenzi wa zamani wa Chris Brown, Amy Shehab pamoja na mwimbaji Keri Hilson. Durant alisitisha uhusiano wake na Cassandra, Oktoba, mwaka jana.
Lakini fowadi huyo pia aliachana na mchumba wake Monica Wright mwaka 2014 kwa madai ya kushangaza.
Alisema: “Nilikuwa na mchumba, lakini sikujua jinsi ya kumpenda, unajua ninachokisema? Tulitengana kwa staili hiyo.”
Lakini Monica, ambaye anacheza kikapu kwenye Ligi ya Wanawake Marekani (WNBA), alitoa sababu tofauti akidai walitengana kwa sababu ya imani yake kali kwa Mungu.
Mrembo huyo alisema: “Nilikosolewa sana kutokana na hilo, lakini nadhani Mungu alikuwa upande wangu. Kwa sababu nilishikilia kile ambacho najua ni kweli, hicho ndicho Mungu atanituza badala ya kile ambacho watu duniani w a naamini ni kizuri.”
CALIFORNIA, Marekani: NYOTA wa NBA, Kevin Durant, amezidi kwa warembo, kwani taarifa zinasema sasa anatoka na modo Sabrina Brazil.
Taarifa zinanyetisha kuwa mkali huyu wa timu ya Golden State Warriors amekuwa akitoka na mrembo Sabrina tangu alipotengana na mrembo mwingine, Cassandra Anderson.
KD, 30, pia amekuwa akihusishwa kimapenzi na mpenzi wa zamani wa Chris Brown, Amy Shehab pamoja na mwimbaji Keri Hilson. Durant alisitisha uhusiano wake na Cassandra, Oktoba, mwaka jana.
Lakini fowadi huyo pia aliachana na mchumba wake Monica Wright mwaka 2014 kwa madai ya kushangaza.
Alisema: “Nilikuwa na mchumba, lakini sikujua jinsi ya kumpenda, unajua ninachokisema? Tulitengana kwa staili hiyo.”
Lakini Monica, ambaye anacheza kikapu kwenye Ligi ya Wanawake Marekani (WNBA), alitoa sababu tofauti akidai walitengana kwa sababu ya imani yake kali kwa Mungu.
Mrembo huyo alisema: “Nilikosolewa sana kutokana na hilo, lakini nadhani Mungu alikuwa upande wangu. Kwa sababu nilishikilia kile ambacho najua ni kweli, hicho ndicho Mungu atanituza badala ya kile ambacho watu duniani w a naamini ni kizuri.”
On point.....✌Matokeo ya kubadilisha wanawake wengi kuna wakati wanajirudia kichwani, how beautiful they were and the good times you had with them. Unataka kurudisha wakati nyuma lakini haiwezekani. Binafsi sometimes nafikiria kama ningewakusanya wote wawe mtu mmoja halafu niwe nae lakini haiwezekani.
Moral of the story, usijione winner kwa kubadilisha mademu, one day it'll hunt you in your head. Karma is real.
Wacha apige bana,ni muda wake....!
I wish I were him,I would eat all of em raw!
Goddamnit,fvck,eat all'ov'em!
Kwani hayo mambo ya KD yanatuhusu nini sisi huku Tanzania?