The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 3,611
- 9,269
Haandamwi, alikuwa kiongozi na kuondoka kwake ameacha "precedence" ambayo itatumiwa na vizazi vya sasa na vya kesho kujifunza kupitia kwake kwa mabaya au mazuri yake...Pambana na Hali yenu wenyewe , Mh Ndugai (RIP), YEYE ameisha hitimisha ya kwake hapa Duniani, kumuandama hakutuwasaidia kitu at this moment when your house is in disarray .
Kumbuka kuwa, kiasili macho hutangulia kuona ubaya haraka kabla ya zuri la mtu kujionesha baadae sana...
Na kumbuka hili: Chachu ndogo, huchachua donge nzima...!
Na pia kumbuka hili: Baya moja tu, hufinika mazuri 1,000,000 yote..!
Kama una akili na ufahamu wa kutosha utaelewa kwa haraka sana hayo👆