Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,500
- 9,279
Muigizaji wa filamu Bongo, Wema Sepetu amefika Mahakama ya Kisutu leo kwaajili ya kesi yake inayomkabili ya kutumia dawa za kulevya.Ambapo Wakili wa serikali ameihairisha kesi hiyo mpaka Novemba 24 mwaka huu kutokana na muda kuwa mchache.
Bongo 5
Bongo 5