Kesi ya Ugaidi: Kingai na genge lake waumbuliwa

Ngongo

JF-Expert Member
Sep 20, 2008
18,921
31,161
Katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mh Mbowe na wenzake watatu,leo Shahidi upande wa utetezi Ndg Lembrus Mchome mkaazi wa Wilaya ya Mwanga kaithibitishia Mahakama kwamba D/C Msemwa alikuwa akihudumu kituo cha police Oysterbay na si Central Police kama alivyodai wakati akitoa ushahidi wake kwamba alimpokea mshitakiwa Mohammed Ling’wenya.

Ndg Lembrus alikuwa akikabiliwa na kesi ya makosa ya mtandao.Pamoja na kutoa ushahidi wake mbele ya Jaji anayesikiliza kesi hiyo pia aliweza kuwasilisha nyaraka mbali mbali zenye kuunga mkono madai yake.

Kupitia ushahidi huu ambao mawakili wa Serekali hawakuutarajia kabisa ni wazi sasa madai ya washitakiwa Adamo na Ling’wenya kwamba hawakuwahi kufikishwa Central police hata mara moja badala yake walipelekwa Vituo vya Police TAZARA na Mbweni yatakuwa yamepata nguvu kubwa kweli kweli.
 
Jaji anataka kuendelea kuwabeba.

Soma hii:

Jaji amefanya maamuzi ya ajabu asubuhi, na jioni hii ameendelea kufanya mambo hayo na haogopi. Ametoa dakika 5 serikali wasome na kupitia vielelezo vya utetezi, wakasema hazitoshi, ameruhusu wajiandae usiku mzima kutoa msimamo. Uwezo wetu wa kumvumilia unakaribia ncha ya mwisho.
 
Jaji anataka kuendelea kuwabeba.

Soma hii:

Jaji amefanya maamuzi ya ajabu asubuhi, na jioni hii ameendelea kufanya mambo hayo na haogopi. Ametoa dakika 5 serikali wasome na kupitia vielelezo vya utetezi, wakasema hazitoshi, ameruhusu wajiandae usiku mzima kutoa msimamo. Uwezo wetu wa kumvumilia unakaribia ncha ya mwisho.
I am thinking of a situation where I can tell the judge kuwa Mh Jaji upande mwingine una upa uzito zaidi kuliko unavyotupa sisi/ au mzania kati yetu na wenzetu unaelemea upande mmoja (kutumia lugha ya kisaarabu) halafu unamuachia ameze au ateme!
 
Jaji anataka kuendelea kuwabeba.

Soma hii:

Jaji amefanya maamuzi ya ajabu asubuhi, na jioni hii ameendelea kufanya mambo hayo na haogopi. Ametoa dakika 5 serikali wasome na kupitia vielelezo vya utetezi, wakasema hazitoshi, ameruhusu wajiandae usiku mzima kutoa msimamo. Uwezo wetu wa kumvumilia unakaribia ncha ya mwisho.
Mtamfanyaje huyo mteule wa Rais mkuu?
 
Jaji katumia utaalamu wote kuibeba Jamhuri lakini kadri siku zinavyosonga mbele mbeleko inazidi kuchanika.
Halafu Jaji huyu bado kijana na anaweza kushuhudia utawala mwingine unaingia madarakani akiwa bado sana muda wake wa kustaafu.
Kwa vile majaji hawafukuzwi kiholele, hawa ndio wa kuundia tume za kuwachunguza ili kuwavua madaraka na kinga yao ya kijaji kisha nao kuwashtaki waone raha ya kuonea wasio hatia.
Somo la Sabaya na masononeko ya Bashite bado tuu halijawa somo kwa hawa watu wengine?
 
Katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mh Mbowe na wenzake watatu,leo Shahidi upande wa utetezi Ndg Lembrus Mchome mkaazi wa Wilaya ya Mwanga kaithibitishia Mahakama kwamba D/C Msemwa alikuwa akihudumu kituo cha police Oysterbay na si Central Police kama alivyodai wakati akitoa ushahidi wake kwamba alimpokea mshitakiwa Mohammed Ling’wenya.

Ndg Lembrus alikuwa akikabiliwa na kesi ya makosa ya mtandao.Pamoja na kutoa ushahidi wake mbele ya Jaji anayesikiliza kesi hiyo pia aliweza kuwasilisha nyaraka mbali mbali zenye kuunga mkono madai yake.

Kupitia ushahidi huu ambao mawakili wa Serekali hawakuutarajia kabisa ni wazi sasa madai ya washitakiwa Adamo na Ling’wenya kwamba hawakuwahi kufikishwa Central police hata mara moja badala yake walipelekwa Vituo vya Police TAZARA na Mbweni yatakuwa yamepata nguvu kubwa kweli kweli.
Hii kesi ni uhujumu uchumi kwa pesa za wananchi na matumizi mabaya ya madaraka
 
Jaji anataka kuendelea kuwabeba.

Soma hii:

Jaji amefanya maamuzi ya ajabu asubuhi, na jioni hii ameendelea kufanya mambo hayo na haogopi. Ametoa dakika 5 serikali wasome na kupitia vielelezo vya utetezi, wakasema hazitoshi, ameruhusu wajiandae usiku mzima kutoa msimamo. Uwezo wetu wa kumvumilia unakaribia ncha ya mwisho.
Ameonyesha waziwazi kuwa ameletwa ajili ya kumfunga Mbowe na hakuna kingine
 
Kesi hii ni mpango wa Mungu wetu kuiumbua CCM na Serikali yake dhalim. Aibu kubwa hii kutumia mamilioni ya kodi zetu kutunga kesi ya uongo kwa chuki za kisiasa tu. Polisi, TISS na Mahakama zimeji vunjia heshima sana.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kweli tupu ni matumizi mabaya sn ya fedha za umma
 
Katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mh Mbowe na wenzake watatu,leo Shahidi upande wa utetezi Ndg Lembrus Mchome mkaazi wa Wilaya ya Mwanga kaithibitishia Mahakama kwamba D/C Msemwa alikuwa akihudumu kituo cha police Oysterbay na si Central Police kama alivyodai wakati akitoa ushahidi wake kwamba alimpokea mshitakiwa Mohammed Ling’wenya.

Ndg Lembrus alikuwa akikabiliwa na kesi ya makosa ya mtandao.Pamoja na kutoa ushahidi wake mbele ya Jaji anayesikiliza kesi hiyo pia aliweza kuwasilisha nyaraka mbali mbali zenye kuunga mkono madai yake.

Kupitia ushahidi huu ambao mawakili wa Serekali hawakuutarajia kabisa ni wazi sasa madai ya washitakiwa Adamo na Ling’wenya kwamba hawakuwahi kufikishwa Central police hata mara moja badala yake walipelekwa Vituo vya Police TAZARA na Mbweni yatakuwa yamepata nguvu kubwa kweli kweli.
Kuna watu wanadhalilishwa sana na upande wa Utetez..... Ni aibu.
 
Jaji anataka kuendelea kuwabeba.

Soma hii:

Jaji amefanya maamuzi ya ajabu asubuhi, na jioni hii ameendelea kufanya mambo hayo na haogopi. Ametoa dakika 5 serikali wasome na kupitia vielelezo vya utetezi, wakasema hazitoshi, ameruhusu wajiandae usiku mzima kutoa msimamo. Uwezo wetu wa kumvumilia unakaribia ncha ya mwisho.
Wanajua Cha kuwafanya hakuna.
 
I am thinking of a situation where I can tell the judge kuwa Mh Jaji upande mwingine una upa uzito zaidi kuliko unavyotupa sisi/ au mzania kati yetu na wenzetu unaelemea upande mmoja (kutumia lugha ya kisaarabu) halafu unamuachia ameze au ateme!
Mkuu Retired unadhani yote hayo hajui/hawajui? Wanajua sana kutokana na yanayojadiliwa kwenye mitandao ya kijamii kwani wanaisoma, na siku hizi wanaifuatilia sana. Hata hao mawakili wa serikali hadi wanapiga simu kuuliza vijiwe vyao wanavyo nywea bia watu wanasemaje.
Shida ni kiburi na kujisahau. Lakini kulikuwa na wenye viburi, ubabe na dharau kama Sabaya au Bashite? Wana hali gani? Ni mashaka na hudhuni tuu mioyoni mwao. Jaji asijidanganye kuwa anaweza kutenda uovu akawa salama siku zote, hata Hagaya mwenyewe uovu hauwezi kum guarantee usalama maana tumeona wababe kabisa kama Albashir, Mubarak, Mugabe au Gaddafi wakitepeta.

Mtu mwema jamii itakupigania na katikati ya mateso uta tabasamu. Ona Mbowe alivyo sasa, hafichi uso akija mahakamani na anasalimia kwa bashasha na watu wanasimama kumpa heshima.
 
Back
Top Bottom