Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Shujaa wa watanzania kwa kufikisha ujumbe wa wengi
Wacha maisha ya kuabudu watu wewe.Huyu jamaaa nilianza kumkimbia tangu alivyoonyesha kumdharau baba wa Taifa. Nilipandwa na hasira ngriiiiii
Naona unahangaika kutafuta cha kusema. Bk 2 utapata tu.Yafaa viongozi wa Chadema watoe hesabu ya malipo ya mawakili kwa kila kesi. Inaelekea Viongozi wa Chadema wanafanya hila kula ruzuku kwa njia ya kujitafutia kesi za kisiasa. Wananchi wanashangaa kwa kiwango cha cdm kuichokoza mamlaka iliyoko madarakani. Mamlaka iliyoyochaguliwa na wananchi inakejeliwa kwa kushikwa ndevu ili wawekwe jela na kujidai wapigania uhuru. Nia yao hasa ni kupiga hela ya chama chao na kuiyumbisha serikali inayoyowajibika vilivyo kwa maslahi ya wananchi.
Sure,jamaa atashinda kesi serikali itaishia kulipa kesi na gharama zote,na usumbufu!hapo kwy usmbufu hao mawakili 17 ndio watakopotokea apoLisu atashinda na huenda kesi ikafutiliwa mbali...
Bajeti yakumumiza mwananchiWeka hiyo fedha wewe kwa ajili ya kusaidia familia yako siku za mvua, huyo hakujui na wala hakuthamini!
Sema ninyi bendera fuata upepo, wananchi wa kweli watajitenga na siasa mufilisi kama hizi na kujikita katika kujenga nchi yao.Yeesss! Hata sisi wananchi tunamtaka aende mahakamani huyo dikteta uchwara
Mkuu kiki tunamuachia punda, wasipojitokeza wa kuwatetea ni nani atawatetea enyi nyie kizazi cha waoga na kujipendekeza?Chadema wanatafuta kick kwa kutumia midomo,this is fifth ter
Acha ipasuke maana tumechoka, mnacheza bila nidhamu ya katiba.Nafikiri ngoma ikovuma sana ni lazima ipasuke tu
Msishabikie mambo mengine yasiyo na maana. Angalia Tundu Lissu katoa hayo maneno ya kumsema vibaya rais, kwa kuwa ni mwanasheria na ana wanasheria wenzake watatumia udhaifu wa hiyo sheria kutafuta justification ya maneno mabaya aliyoyatamka. Kiuhalisia amekosea sasa unafikiri nini kinachohitajika kudhibiti watu kama hao. Ni huo udikteta anaousemaTundu Lissu ni shujaa na ni nembo halisi ya ukombozi .
Si kila unayemsoma humu anashabikia , sisi wengine ni wawezeshaji kamili , kwanza sikuona sababu ya polisi kumkamata Lissu kwa hoja ile , wangeacha hili jambo lingepotea lenyewe tu , lakini sasa limekuwa kubwa na wananchi wamelikubali kuliko kawaida ! Kumkamata mtu kama Lissu kwa lengo la kumtishia nyau au kumnyamazisha ni sawa na kupoteza muda tu .Msishabikie mambo mengine yasiyo na maana. Angalia Tundu Lissu katoa hayo maneno ya kumsema vibaya rais, kwa kuwa ni mwanasheria na ana wanasheria wenzake watatumia udhaifu wa hiyo sheria kutafuta justification ya maneno mabaya aliyoyatamka. Kiuhalisia amekosea sasa unafikiri nini kinachohitajika kudhibiti watu kama hao. Ni huo udikteta anaousema