Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,112
Kesi namba 128/2013 inayomkabili
Katibu wa jumuia na taasisi za kislamu Tanzania
Sheikh PONDA ISSA PONDA kutolewa hukumu
Katika mahakama ya mkoa wa
Morogoro siku ya jumatatu ya tarekhe 19/10/2015
yani kesho
Tumuombe Allah (sw) amfanyie wepesi Sheikh
aweze kushinda Hii kesi
Katibu wa jumuia na taasisi za kislamu Tanzania
Sheikh PONDA ISSA PONDA kutolewa hukumu
Katika mahakama ya mkoa wa
Morogoro siku ya jumatatu ya tarekhe 19/10/2015
yani kesho
Tumuombe Allah (sw) amfanyie wepesi Sheikh
aweze kushinda Hii kesi