Kesi ya shambulio la mkuu wa Wilaya Igunga, CHADEMA yashinda

sasa namini Chadema kimetumwa na Makanisa nchini na nia yake kwa ajili ya wakiristo. na sio Chama cha siasa kama tunavyodanganywa

Ni kweli kabisa hata mimi nimeliona hilo, sababu Mahakama imefanya makusudi kabisa kufikia hukumu ya kesi hii kwa kuangalia vifungu vya Biblia pepee wakati ilitakiwa kubalance vitabu vyote viwili, Biblia na Kurhani Tukufu.
 
Pamoja na kwamba mimi sio mwanacham wa chama chochote cha kisiasa lakini sio siri kwamba CDM kwenye hivyo tunavoviita vyombo vya haki hawa jamaa wamekuwa wakionewa sana, hivi hata wewe ukivua tu pazia la uchama, ile kesi ya Arusha ilikuwa ni ya haki kweli?

Mbona hata mashahidi wenyewe tu kwenye ile kesi walikuwa wanachanganyana sana, tuweni wakati mwingine tunatazama na kuona badala ya kutazama tu while huoni!
Wengine walikimbia kutoa ushahidi na wengine walikataa kuja kutoa ushahidi akiwemo anae daiwa kukashifiwa.
 
Hakimu huyo amekitendea haki kiti chake.Mungu ampe maarifa zaidi ili azidi kuhukumu kwa haki
 
Kwanza, asante sana kwa kutuhabarisha.
Na pili, hii kesi imepelekwa fasta fasta, kama zote zingeenda fasta ki hivi, mlundikano wa wafungwa magerezani ungepungua.
Naipongeza mahakama iliyoendesha kesi hii.
 
Mahakama ya hakim mkazi Tabora imewakuta wabunge na makada wa CHADEMA hawana hatia katika shitaka la kumshambulia mkuu wa wilaya ya Igunga wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Igunga.

Akisoma hukumu hiyo hakimu alisema hakukuwa na ushahidi wakutosha kuthibitisha makosa waliyo shitakiwa nayo wabunge na makada wa CHADEMA pia aliwaonya upande wa mashitaka kwa kufungua kesi zenye mlengo wa kisiasa akisema ni kuipotezea mahakama muda na kuaribu pesa za walipakodi.

Alisema anakubaliana na hoja za utetezi kwamba mtandio nivazi linaloweza kuvulika pasipo shambulio hata wakati mtu akitembea laweza vulika pia alisema kwa sheria ya ulinzi shirikishi wananchi waweza kumshikilia mharifu popote mpaka polisi wafike hivyo kuweka chini ya ulinzi DC huyo halikuwa kosa.

Nawasilisha.

Source: nilikuwepo mahakamani.

Peploooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooos!!!!!!!!!


Powaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!
 
Halafu CDM mkishinda kama hivi, huwa ndio mnasema HAKI IMETENDEKA, ila mgeshindwa mngesikia mahakama zinatumiwa na CCM. Sasa hapa ngoja uone CDM pro watakavyo toa pongezi mpaka, halafu mnakuja kusema mahakama hazitendi haki kwenu, na hili je?
Baada ya shift yako anaingia Nani? ni Zomba au Ritz?
 
Halafu CDM mkishinda kama hivi, huwa ndio mnasema HAKI IMETENDEKA, ila mgeshindwa mngesikia mahakama zinatumiwa na CCM. Sasa hapa ngoja uone CDM pro watakavyo toa pongezi mpaka, halafu mnakuja kusema mahakama hazitendi haki kwenu, na hili je?

Kumbuka hiyo kesi haikuwa na lengo la kuishitaki CHADEMA bali waliifungua ili kuichafua CHADEMA kipindi cha uchaguzi na walifanikiwa kuwapeleka mahakamani ilikuwa danganya toto ili raia tuamini lakini hata mtu ambaye haijui sheria alijua CHDM hawakufanya kosa.
 
Halafu CDM mkishinda kama hivi, huwa ndio mnasema HAKI IMETENDEKA, ila mgeshindwa mngesikia mahakama zinatumiwa na CCM. Sasa hapa ngoja uone CDM pro watakavyo toa pongezi mpaka, halafu mnakuja kusema mahakama hazitendi haki kwenu, na hili je?

Mahakama ya hakim mkazi Tabora imewakuta wabunge na makada wa CHADEMA hawana hatia katika shitaka la kumshambulia mkuu wa wilaya ya Igunga wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Igunga.

Akisoma hukumu hiyo hakimu alisema hakukuwa na ushahidi wakutosha kuthibitisha makosa waliyo shitakiwa nayo wabunge na makada wa CHADEMA pia aliwaonya upande wa mashitaka kwa kufungua kesi zenye mlengo wa kisiasa akisema ni kuipotezea mahakama muda na kuaribu pesa za walipakodi.

Alisema anakubaliana na hoja za utetezi kwamba mtandio nivazi linaloweza kuvulika pasipo shambulio hata wakati mtu akitembea laweza vulika pia alisema kwa sheria ya ulinzi shirikishi wananchi waweza kumshikilia mharifu popote mpaka polisi wafike hivyo kuweka chini ya ulinzi DC huyo halikuwa kosa.

Nawasilisha.

Source: nilikuwepo mahakamani.

Hata hakimu hilo ameliona wewe bado unabisha tu??

Ni dhahiri huyu hakimu anajua gharama ya kutofuata matakwa ya mafisadi, lakini ameamua kutodhalilisha taaluma yake kama yule jaji wa kesi ya Lema. Big up hakimu. baada ya 2015 tutahitaji majaji watakaoweza kufanya kazi kwenye mfumo mpya.
 
Mahakama ya hakim mkazi Tabora imewakuta wabunge na makada wa CHADEMA hawana hatia katika shitaka la kumshambulia mkuu wa wilaya ya Igunga wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Igunga.

Akisoma hukumu hiyo hakimu alisema hakukuwa na ushahidi wakutosha kuthibitisha makosa waliyo shitakiwa nayo wabunge na makada wa CHADEMA pia aliwaonya upande wa mashitaka kwa kufungua kesi zenye mlengo wa kisiasa akisema ni kuipotezea mahakama muda na kuaribu pesa za walipakodi.

Alisema anakubaliana na hoja za utetezi kwamba mtandio nivazi linaloweza kuvulika pasipo shambulio hata wakati mtu akitembea laweza vulika pia alisema kwa sheria ya ulinzi shirikishi wananchi waweza kumshikilia mharifu popote mpaka polisi wafike hivyo kuweka chini ya ulinzi DC huyo halikuwa kosa.

Nawasilisha.

Source: nilikuwepo mahakamani.

Sasa BAKWATA na NAPE na MCHEMBA watasemaje au wamesemaje? Baada ya kulalama Vikali na kuhatarisha

Usalama?
 
mbona kuna uzi mwingine unaelezea kuwa mb kasulumbai amehukumiwa jela mwaka m1 au faini ya laki moja, nani mkweli hapa
 
Halafu CDM mkishinda kama hivi, huwa ndio mnasema HAKI IMETENDEKA, ila mgeshindwa mngesikia mahakama zinatumiwa na CCM. Sasa hapa ngoja uone CDM pro watakavyo toa pongezi mpaka, halafu mnakuja kusema mahakama hazitendi haki kwenu, na hili je?

Pale haki inapotendeka kama kwenye kesi hii lazima tuseme na pale sheria zinapokanyagwa kwa maslahi ya kisiasa ya ccm kama kesi ya segerea na Arusha mjini lazima tupaze sauti zetu wapo mahakimu wachache waliobakia wanaosimamia weledi kuliko ushabiki wa kisiasa kama aliyeamua kesi hii lazima tumpongeze!!
 
Halafu CDM mkishinda kama hivi, huwa ndio mnasema HAKI IMETENDEKA, ila mgeshindwa mngesikia mahakama zinatumiwa na CCM. Sasa hapa ngoja uone CDM pro watakavyo toa pongezi mpaka, halafu mnakuja kusema mahakama hazitendi haki kwenu, na hili je?

kesi yenyewe ya kupikwa siamini hata hao CCM kama walipeleka hata mashahidi, ni njama tu za kuichafua CDM ila sisi tuna Mungu wao wana majungu (CCM & Polisi & Usalama wa Taifa)
 
Back
Top Bottom