Kutoa pongezi ni lazima kwa mtazamo wangu wewe hujui sheria ndiyo maana unaandika hivyo, katika kesi zote ambazo CDM wamelalamika zina ukweli 100% kwamba majaji wameboronga katika kutoa hukumu(wamepindisha sheria), usiwe unaandika kishabiki fikiria kwanza.Halafu CDM mkishinda kama hivi, huwa ndio mnasema HAKI IMETENDEKA, ila mgeshindwa mngesikia mahakama zinatumiwa na CCM. Sasa hapa ngoja uone CDM pro watakavyo toa pongezi mpaka povu la kinywa linawatoka, halafu mnakuja kusema mahakama hazitendi haki kwenu, na hili je?
Halafu CDM mkishinda kama hivi, huwa ndio mnasema HAKI IMETENDEKA, ila mgeshindwa mngesikia mahakama zinatumiwa na CCM. Sasa hapa ngoja uone CDM pro watakavyo toa pongezi mpaka povu la kinywa linawatoka, halafu mnak
Ni lazima ndugu! Aliyeumwa na nyoka nyasi zote hugeuka NYOKA!! angalia bungeni na maamuzi mengine ya kisheria kwa kichwa kisicho na gamba utagundua hili!!
Haki ni kama mtoto mtundu, ambaye anaweza kujitokeza mbele ya wageni waheshimiwa sana, na kusema lolote!
Viva cdm...
Mama Mkuu wa Wilaya arudi zake Kimara Mavurunza aendeleze shamba lake la Noah a.k.a Kitimoto's!
Halafu CDM mkishinda kama hivi, huwa ndio mnasema HAKI IMETENDEKA, ila mgeshindwa mngesikia mahakama zinatumiwa na CCM. Sasa hapa ngoja uone CDM pro watakavyo toa pongezi mpaka povu la kinywa linawatoka, halafu mnakuja kusema mahakama hazitendi haki kwenu, na hili je?
Ni hiyo iwe fundisho kwa Ma DC wenzake. Wananchi tutuie hukumu hii kuwashikisha adabu watawala.
Mkubwa hapa sasa unataka kutumix. Hijabu na Noah wapi na wapi?
Kesi nyingine za kipuuzi mno, acha malalamiko. Moja ya mambo yanayoipaisha CDM na kuidumaza CCM machoni pa Watanzania.Halafu CDM mkishinda ... ndio mnasema HAKI IMETENDEKA, ila mgeshindwa mngesikia mahakama zinatumiwa na CCM. Sasa hapa ngoja uone CDM pro..., halafu mnakuja kusema mahakama hazitendi haki kwenu, na hili je?
Ni hiyo iwe fundisho kwa Ma DC wenzake. Wananchi tutuie hukumu hii kuwashikisha adabu watawala.
Kesi nyingine za kipuuzi mno, acha malalamiko. Moja ya mambo yanayoipaisha CDM na kuidumaza CCM machoni pa Watanzania.Halafu CDM mkishinda ... ndio mnasema HAKI IMETENDEKA, ila mgeshindwa mngesikia mahakama zinatumiwa na CCM. Sasa hapa ngoja uone CDM pro..., halafu mnakuja kusema mahakama hazitendi haki kwenu, na hili je?