mzee lowasa kajitoa muhunga mkwe atoke.
Soon atatimiza haja ya binti yake sawa na kisa cha binti wa Mfalme na kichwa cha Yohana mbatizaji John the Baptist. Dosari za mashtaka zimeanza kuonekana baada ya kurudi chakavu. Shetani alimwambia Yesu ukinisujudia hii miliki yooote ya duniani itakuwa ni yako.