chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,130
- 22,538
mzee lowasa kajitoa muhunga mkwe atoke.
Don't be a coward my friend, because cowards always have a place in hell!!!Ngoja nisichangie..wenda jiwe akaja nitafuta nikapotezwa na wasiojulikana ukawa ndio uzi wangu wa mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una maana hakujali kuitwa: "Ngo'mbe aliyekatwa mkia!!!"mzee lowasa kajitoa muhunga mkwe atoke.
Mkuu "MKWEPA KODI" CCCM SI tu Ni genge la mafisadi, bali pia Ni genge sawa na magenge mengine ya kiuuaji.CCM ni genge la mafisadi sishangai
Sumaye amesahau alivyo mfilisi mbulu mwenzake Kwang wa TANGO transport Muacheni Mungu atendebado Sumaye watachukua hadi magari na suti zake wameanza na viwanja
Sumaye amesahau alivyo mfilisi mbulu mwenzake Kwang wa TANGO transport Muacheni Mungu atende
Sumaye Alishawahi Kusema Ukitaka Mambo Yako Yakunyookee Hamia CCM
CCM ni chama cha mijizi, ili wizi na uhalifu wako ufanikiwe, wewe jiunge CCM.
Kina Rostam Aziz, Subash Patel, Jeetu Patel na wengine wengi, wamekuwa wakitajwa tangu enzi za kashfa ya Chavda, Epa, Rada, Ununuzi wa ndege ya Rais na kashfa nyingine nyingi zaidi.
Lakini wako salama kwasababu wako chini ya uvuli wa Chama
Kwani hao wote wanaokuwa wamekamatwa inakua sio kweli mafisadi?
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Hamna wanaposhindwa elewa hilo.Ni siasa tu zinazofanywa.MBONA huwa wanashindwa hizo kesi uchwara kama ni mafisadi watesi wao wanachoambulia ni kuwaweka ndani mda mrefu Miaka 3 4 5 uwachelewesha kutafuta ushahidi ili wawkomoe wanajua wakiwapeleka mahakamani mapema watatoka.
MBONA huwa wanaachiwa hali wakiaminishwa ktk jamii ni mafisadi, Wapi Manji na kesi za madawa,uhujumu uchumi, Mdogo wake na rostam,Tido na tbc wakituhumiwa kwa mbwembwe Leo wako mitaaniHamna wanaposhindwa elewa hilo.Ni siasa tu zinazofanywa.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Hamna wanaposhindwa elewa hilo.Ni siasa tu zinazofanywa.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Haa haa umenikumbusha jamaa wa kigoma Wale waliofungwa kwa pesa za Epa wamenitoka majina sijui Shabab LondaKwa Africa jela huwa ni kwa masikini, ukimuona tajiri jela jua kakosana na watawala ili asikishwe adabu au akomolewe ili afilisike.Na asipojiongeza anafilisika kweli.
Upepo si wake cdm heri alinde Mali na haki ya binti yake kuongeza wajukuu,alibugi kukubali haraka matokeo 2015 uraisi atakuwa anausoma kwenye magazeti.mzee lowasa kajitoa muhunga mkwe atoke.