Kesi ya Mkwe wa Lowassa (Sioi) na Kitilya yarudishwa Mahakama ya Kisutu kufanyiwa marekebisho

KAYABOMBICHI

JF-Expert Member
Oct 12, 2013
296
142
Safari ya Siyoi na wenzake kina Kitilya huenda ikawa imeanza kwani sasa kesi yao imehamishiwa Mahakama ya Kisutu.

Huu huenda ukawa ni mwanzo mzuri wa ahueni kwao!

========

Asam said;

Siyo hivyo mkuu!

Iissue ipo hivi: Ile kesi kulikuwa na dosari za kisheria kuu mbili iliyofanya kurudishwa Mahakama ya Kisutu kwa ajili ya marekebisho ambazo ni:

1. Ni kutoonekana jina la mshitakiwa namba tano akisomewa maelezo ya mashahidi na vielelezo vilivyowasilishwa mahakamani hapo.

2. Dosari nyingine ni pamoja na amri ya mahakama kutoorodhesha majina ya washitakiwa kwa mujibu wa kanuni za mahakama kuu kitengo chamakosa ya rushwa na uhujumu uchumi.

Hakimu mkazi mkuu, Huruma Shaidi amesema atafanyia marekebisho hayo na kurudisha jalada la kesi hiyo leo Mahakama Kuu kitengo cha makosa ya rushwa na uhujumu uchumi kwa ajili ya kuendelea na taratibu nyingine.

Kesi hiyo itaendelea Machi 13 Mahakama Kuu kitengo cha Nakosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi.
 
Safari ya Siyoi na wenzake kina Kitilya huenda ikawa imeanza kwani sasa kesi yao imehamishiwa Mahakama ya Kisutu.
Huu huenda ukawa ni mwanzo mzuri wa ahueni kwao!
Siyo hivyo mkuu!

Iissue ipo hivi: Ile kesi kulikuwa na dosari za kisheria kuu mbili iliyofanya kurudishwa Mahakama ya Kisutu kwa ajili ya marekebisho ambazo ni:
1. Ni kutoonekana jina la mshitakiwa namba tano akisomewa maelezo ya mashahidi na vielelezo vilivyowasilishwa mahakamani hapo.
2. Dosari nyingine ni pamoja na amri ya mahakama kutoorodhesha majina ya washitakiwa kwa mujibu wa kanuni za mahakama kuu kitengo chamakosa ya rushwa na uhujumu uchumi.
Hakimu mkazi mkuu, Huruma Shaidi amesema atafanyia marekebisho hayo na kurudisha jalada la kesi hiyo leo Mahakama Kuu kitengo cha makosa ya rushwa na uhujumu uchumi kwa ajili ya kuendelea na taratibu nyingine.
Kesi hiyo itaendelea Machi 13 Mahakama Kuu kitengo cha Nakosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi.
 
And if all goes well, leo DPP anakuja na Nolle.
P

Tukisema hakuna vita vya ufisadi bali kupambana na matumizi ya neno fisadi na visasi watu wanachukia. Ni dhahiri hao jamaa wataachiwa kisa Lowassa kakubali kumsujudia shetani na mambo yake yote, hivyo kapewa fahari za dunia hii. Hata Lissu leo hii akimsujudia shetani na mambo yake yote atapatiwa hela za matibabu.
 
Back
Top Bottom