Kesi ya Mbowe: Yatokanayo, yasipuuziwe

Kesi ya Mbowe ingali ikirindima. Hata hivyo tayari kuna ambayo hatukuyajua ambayo leo tunayajua zaidi.

Kumbe pana Makomando wengi wanaweza kuwa walipotea baina 2015 - 2021.

Nani ajuaye huenda wanaendelea kupotea leo.

Hawa ni watanzania, wananchi na binadamu wenzetu wenye haki zao za msingi wanazostahili, zikiwamo za kuishi.

Pana haja ya kufanya sensa ya kujua waliko makomando hawa hasa kwa waliokuwa demobilized. Kujua wako wapi, wanafanya nini na hata kujihusisha katika ustawi wa maisha yao.

Ni muhimu kulinganisha idadi ya waliopotea na waliookotwa kwenye viroba. Hii inaweza kusaidia kutanzua kitendawili kigumu cha utambuzi wa watu hasa wale ambao hawakuweza kutambulika.


Ni vyema zoezi hili likafanyika sasa kwani panga pangua siku moja zoezi hili litafanyika.

Zoezi hili ni muhimu likaambatana na fidia stahiki kwa wahanga (zikiwamo adhabu) ikigundulika watumishi wa umma walihusika kwenye kadhia hii.

Mshiriki katika kufichua maovu ni mshirika katika haki.

Mshiriki katika kuficha maovu ni mshirika katika uovu.
Zoezi hilo afanye unayemdhania? Subiri mwendazake atakaporudi.
 
wingi wa makomando kuacha/ kuachishwa kazi unafikirisha
Tuanawapenda Makomandoo wetu na wanajeshi wetu.
Lakini tukianzisha harakati za kudai haki zetu ambazo pia ni zao na za ndugu zao wao hutangaza kufanya usafi nchi nzima.
Pia gari zao ambazo ni zetu huzunguka mitaani siku za Uchaguzi.
Ila sasa na leo tunalia nao.
Nakupenda Tanzania.
 
Zoezi hilo afanye unayemdhania? Subiri mwendazake atakaporudi.

Zoezi kama hilo hufanywa na interested parties.

Zipo kumbukumbu za waliokufa kwa Corona kipindi cha giza kwa majina, tarehe, mkoa, wilaya, tarafa, kata hadi kitongoji:

Corona: Orodha ya wahanga, sampuli

Sembuse makomando waliopotea?

Ninakazia:

Ni bora kufanya la makomando sasa kwa kheri kuliko baadaye kwa shari.
 
Kesi ya Mbowe ingali ikirindima. Hata hivyo tayari kuna ambayo hatukuyajua ambayo leo tunayajua zaidi.

Kumbe pana Makomando wengi wanaweza kuwa walipotea baina 2015 - 2021.

Nani ajuaye huenda wanaendelea kupotea leo.

Hawa ni watanzania, wananchi na binadamu wenzetu wenye haki zao za msingi wanazostahili, zikiwamo za kuishi.

Pana haja ya kufanya sensa ya kujua waliko makomando hawa hasa kwa waliokuwa demobilized. Kujua wako wapi, wanafanya nini na hata kujihusisha katika ustawi wa maisha yao.

Ni muhimu kulinganisha idadi ya waliopotea na waliookotwa kwenye viroba. Hii inaweza kusaidia kutanzua kitendawili kigumu cha utambuzi wa watu hasa wale ambao hawakuweza kutambulika.


Ni vyema zoezi hili likafanyika sasa kwani panga pangua siku moja zoezi hili litafanyika.

Zoezi hili ni muhimu likaambatana na fidia stahiki kwa wahanga (zikiwamo adhabu) ikigundulika watumishi wa umma walihusika kwenye kadhia hii.

Mshiriki katika kufichua maovu ni mshirika katika haki.

Mshiriki katika kuficha maovu ni mshirika katika uovu.
I wish I could be IGP
Shida ilianzia pale Amiri jeshi mkuu alipotamani kuwa IGP
Hapo tuu.
Kitendo cha Mkuu wa nchi kumwambia SPEAKER tena mwenye akili kama JOBO kwamba amalizane na WABUNGE akiwa ndani ya bunge na yeye utamalizana nao nje kilikuwa cha hatari kuliko hatar yenyewe.
Sikushangaa RC Bashite aliposema anawasaka wabunge wanaozurura Dar! Yaani mkuu wa mkoa anafasir sheria bila hata kusema anawasaka kwa mujibu wa sheria gani na kuzurura ninini kwa mujibu wa katiba????
MAGUFULI ALITUPELEKA KUBAYA SANA
 
I wish I could be IGP
Shida ilianzia pale Amiri jeshi mkuu alipotamani kuwa IGP
Hapo tuu.
Kitendo cha Mkuu wa nchi kumwambia SPEAKER tena mwenye akili kama JOBO kwamba amalizane na WABUNGE akiwa ndani ya bunge na yeye utamalizana nao nje kilikuwa cha hatari kuliko hatar yenyewe.
Sikushangaa RC Bashite aliposema anawasaka wabunge wanaozurura Dar! Yaani mkuu wa mkoa anafasir sheria bila hata kusema anawasaka kwa mujibu wa sheria gani na kuzurura ninini kwa mujibu wa katiba????
MAGUFULI ALITUPELEKA KUBAYA SANA

Kusiachwe jiwe juu ya jiwe
 
Swali la kijinga.

Ni sawa na kusema kwa sababu kwenye familia yenu hakuna aliyefariki, basi kifo hakipo! JF siku hizi imekusanya hata watu ambao wana akili chini kiwango cha mtu mwenye akili ndogo.
Mbona ni afadhali kuwa na akili dogo kuliko wewe unayetumia akili ya mtu mwingine tena gaidi
 
Malaika mkuu wa shetani
I wish I could be IGP
Shida ilianzia pale Amiri jeshi mkuu alipotamani kuwa IGP
Hapo tuu.
Kitendo cha Mkuu wa nchi kumwambia SPEAKER tena mwenye akili kama JOBO kwamba amalizane na WABUNGE akiwa ndani ya bunge na yeye utamalizana nao nje kilikuwa cha hatari kuliko hatar yenyewe.
Sikushangaa RC Bashite aliposema anawasaka wabunge wanaozurura Dar! Yaani mkuu wa mkoa anafasir sheria bila hata kusema anawasaka kwa mujibu wa sheria gani na kuzurura ninini kwa mujibu wa katiba????
MAGUFULI ALITUPELEKA KUBAYA SANA
 
Ni Bora walifungua kesi kumusingizia Mbowe kuwa Ni gaidi wa Kwanza Tanzania,tunahitaji kujua Hawa akina sabaya na makonda walikuwa wanatekeleza amri kutoka juu ya kuhusu Nini?
 
Unatukumbusha misiba? Wewe unatufahamu humu kila mtu? Tunaposema wauaji tunamaanisha kwa hiyo mtuache tuseme tunayojua.
Wewe hujafiwa waliofiwa hawako hivyo. Any way inawezekana maana kesi ya Mbowe kama inakuumiza hivyo unaweza hata kufanya msiba mbu akifa baada ya kupuliziwa dawa ya rungu
 
Jiwe alikuwa mkatii sana.

Inawezekana kuwa kama Taifa hatukuwahi kupata mtu katili kama huyu.

Huyu bwana aliratibu yote haya:

IMG_20211202_092804_863.jpg


chini ya uzalendo
 
Kesi ya Mbowe ingali ikirindima. Hata hivyo tayari kuna ambayo hatukuyajua ambayo leo tunayajua zaidi.

Kumbe pana Makomando wengi wanaweza kuwa walipotea baina 2015 - 2021.

Nani ajuaye huenda wanaendelea kupotea leo.

Hawa ni watanzania, wananchi na binadamu wenzetu wenye haki zao za msingi wanazostahili, zikiwamo za kuishi.

Pana haja ya kufanya sensa ya kujua waliko makomando hawa hasa kwa waliokuwa demobilized. Kujua wako wapi, wanafanya nini na hata kujihusisha katika ustawi wa maisha yao.

Ni muhimu kulinganisha idadi ya waliopotea na waliookotwa kwenye viroba. Hii inaweza kusaidia kutanzua kitendawili kigumu cha utambuzi wa watu hasa wale ambao hawakuweza kutambulika.


Ni vyema zoezi hili likafanyika sasa kwani panga pangua siku moja zoezi hili litafanyika.

Zoezi hili ni muhimu likaambatana na fidia stahiki kwa wahanga (zikiwamo adhabu) ikigundulika watumishi wa umma walihusika kwenye kadhia hii.

Mshiriki katika kufichua maovu ni mshirika katika haki.

Mshiriki katika kuficha maovu ni mshirika katika uovu.
Je panya anaweza mfunga paka kengele
 
Je panya anaweza mfunga paka kengele

Kauli hizi zingeendekezwa tusingepata uhuru na kusingekuwapo mabadiliko kokote.

Zambia, Malawi, Kenya na Afrika Kusini paka kafungwa kengele akafungika.

Bado Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi, Mozambique, Zimbabwe na wa namna hiyo.

Compare and contrast.
 
Kauli hizi zingeendekezwa tusingepata uhuru na kusingekuwapo mabadiliko kokote.

Zambia, Malawi, Kenya na Afrika Kusini paka kafungwa kengele akafungika.

Bado Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi, Mozambique, Zimbabwe na wa namna hiyo.

Compare and contrast.
Wananchi wanataka katiba nyinyi hamtaki
 
Back
Top Bottom