Kesi ya Mbowe imekuja na mengi.
Mahakamani kulikofikiriwa kuwa ndiko kimbilio, hilo haipo tena:
Tulianza kuzuiliwa kwenda mahakamani kunakopaswa kuwa mahala pa wazi.
Ikaja kuzuiliwa kuingia mahakamani. Kuzuiliwa kuingia na simu. Sasa kuna kufungiana mahakamani.
Yote hayo kinyume cha sheria.
Kinara wa kuingilia mhimili huu ni kama anavyoonekana. Huyu bwana ambaye leo anaaminiwa kwa kila shitaka lake mahakamani.
Haki zipi ziendelee kutegemewa kutokea mahakamani?
Mahakamani kulikofikiriwa kuwa ndiko kimbilio, hilo haipo tena:
Tulianza kuzuiliwa kwenda mahakamani kunakopaswa kuwa mahala pa wazi.
Ikaja kuzuiliwa kuingia mahakamani. Kuzuiliwa kuingia na simu. Sasa kuna kufungiana mahakamani.
Yote hayo kinyume cha sheria.
Kinara wa kuingilia mhimili huu ni kama anavyoonekana. Huyu bwana ambaye leo anaaminiwa kwa kila shitaka lake mahakamani.
Haki zipi ziendelee kutegemewa kutokea mahakamani?