Its Tesha
Senior Member
- Oct 6, 2025
- 168
- 604
Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwanaharakati Mange Kimambi inatarajiwa kusikilizwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Soma pia PostGE2025 - Serikali ya Tanzania yamfungulia Mange Kimambi kesi ya Uhujumu Uchumi. Adaiwa kutakatisha Tsh. Milioni 138
Mange, anayeishi Marekani, ameshitakiwa kwa utakatishaji fedha TZS milioni 138.5, ambapo anadaiwa kutenda kosa hilo kati ya Machi 1 na Machi 31, 2022 Dar es Salaam; kufanya uandishi wa habari bila kibali, pamoja na kudai fedha kupitia vitisho.
Soma pia PostGE2025 - Serikali ya Tanzania yamfungulia Mange Kimambi kesi ya Uhujumu Uchumi. Adaiwa kutakatisha Tsh. Milioni 138
Mange, anayeishi Marekani, ameshitakiwa kwa utakatishaji fedha TZS milioni 138.5, ambapo anadaiwa kutenda kosa hilo kati ya Machi 1 na Machi 31, 2022 Dar es Salaam; kufanya uandishi wa habari bila kibali, pamoja na kudai fedha kupitia vitisho.