GE2025 Kesi ya Malisa: Mahakama kutoa uamuzi mapingamizi ya CCM Agosti 22

GE2025 Kesi ya Malisa: Mahakama kutoa uamuzi mapingamizi ya CCM Agosti 22

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Parabolic

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
2,743
Reaction score
2,601
DODOMA. Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma itatoa uamuzi wa mapingamizi yaliyowekwa na CCM dhidi ya Mchungaji Godfrey Malisa anayepinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia chama hicho.

Mchungaji Malisa aliyefukuzwa uanachama Februari 10 mwaka huu, alipinga mchakato wa uteuzi wa Rais Samia uliofanyika Januari 19 na Mkutano Mkuu wa chama hicho, akisema umevunja Katiba ya CCM na Katiba ya Jamahuri ya Muungano.

Soma pia: Kesi ya Dk Malisa dhidi ya CCM yasogezwa hadi Agosti 19

Awali Agosti 6, Mchungaji Malisa aliwasilisha malalamiko yake katika Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma, ambapo kesi hiyo inasikilizwa na jopo la majaji watatu, Jaji Joachim Tiganga, Jaji Evaristo Lungopa na Jaji Griffin Mwakapeje na CCM ilipewa siku saba kujibu malalamiko hayo.

Kesi hiyo ilitarajiwa wajibu Agosti 14. Hata hivyo, kesi hiyo ilisogezwa hadi leo Agosti 19.

Taarifa kutoka mahakamani hapo zinasema, mawakili wa CCM Fabian Donates na Alex Mgongolwa wamekuja na mapingamizi wakisema hatua za kufungua shauri hilo hazikufuatwa kabla, wakati na baada na kwamba ndani ya CCM kuna hatua za kufuata kabla ya kwenda mahakamani.

Akijibu mapingamizi hayo, wakili wa mlalamikaji, Denis Maringo amesema kanuni zilifuatwa, kwani Februari mwaka huu, Mchungaji Malisa alimwandikia barua Rais Samia akimlalamikia kuhusu uteuzi wake.

Hata hivyo, mawakili wa CCM wamepinga wakisema, mlalamikaji alipaswa aandike barua kwa katibu wa ngazi husika na kwa kuwa anamlalamikia mwenyekiti wa chama, alipaswa kumwandikia Katibu Mkuu.

Baada ya maelezo ya pande mbili, ndipo kesi hiyo iliahirishwa hadi Agosti 22, 2025.

Akizungumzia kesi hiyo kwa simu leo, Mchungaji Malisa amesema kwa upande wao wameieleza mahakama kuwa wasingeweza kupeleka mashitaka kwa Katibu mkuu wa chama kwa kuwa yeye ndiye wanayemlalamikia na pia CCM wamevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano.

"Mawakili wa CCM wanasema hatukufuata utaratibu, tumewaambia kwamba mimi nilikutana na Katibu Mkuu, Dk Emmanuel Nchimbi tumeongea kwa saa mbili na ushahidi upo na picha zipo, taratibu gani nyingine?" amehoji.

Alichosema Mchungaji Malisa:
Mchungaji Malisa
 
DODOMA. Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma itatoa uamuzi wa mapingamizi yaliyowekwa na CCM dhidi ya Mchungaji Godfrey Malisa anayepinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia chama hicho.

Mchungaji Malisa aliyefukuzwa uanachama Februari 10 mwaka huu, alipinga mchakato wa uteuzi wa Rais Samia uliofanyika Januari 19 na Mkutano Mkuu wa chama hicho, akisema umevunja Katiba ya CCM na Katiba ya Jamahuri ya Muungano.

Soma pia: Kesi ya Dk Malisa dhidi ya CCM yasogezwa hadi Agosti 19

Awali Agosti 6, Mchungaji Malisa aliwasilisha malalamiko yake katika Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma, ambapo kesi hiyo inasikilizwa na jopo la majaji watatu, Jaji Joachim Tiganga, Jaji Evaristo Lungopa na Jaji Griffin Mwakapeje na CCM ilipewa siku saba kujibu malalamiko hayo.

Kesi hiyo ilitarajiwa wajibu Agosti 14. Hata hivyo, kesi hiyo ilisogezwa hadi leo Agosti 19.

Taarifa kutoka mahakamani hapo zinasema, mawakili wa CCM Fabian Donates na Alex Mgongolwa wamekuja na mapingamizi wakisema hatua za kufungua shauri hilo hazikufuatwa kabla, wakati na baada na kwamba ndani ya CCM kuna hatua za kufuata kabla ya kwenda mahakamani.

Akijibu mapingamizi hayo, wakili wa mlalamikaji, Denis Maringo amesema kanuni zilifuatwa, kwani Februari mwaka huu, Mchungaji Malisa alimwandikia barua Rais Samia akimlalamikia kuhusu uteuzi wake.

Hata hivyo, mawakili wa CCM wamepinga wakisema, mlalamikaji alipaswa aandike barua kwa katibu wa ngazi husika na kwa kuwa anamlalamikia mwenyekiti wa chama, alipaswa kumwandikia Katibu Mkuu.

Baada ya maelezo ya pande mbili, ndipo kesi hiyo iliahirishwa hadi Agosti 22, 2025.

Akizungumzia kesi hiyo kwa simu leo, Mchungaji Malisa amesema kwa upande wao wameieleza mahakama kuwa wasingeweza kupeleka mashitaka kwa Katibu mkuu wa chama kwa kuwa yeye ndiye wanayemlalamikia na pia CCM wamevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano.

"Mawakili wa CCM wanasema hatukufuata utaratibu, tumewaambia kwamba mimi nilikutana na Katibu Mkuu, Dk Emmanuel Nchimbi tumeongea kwa saa mbili na ushahidi upo na picha zipo, taratibu gani nyingine?" amehoji.
Afuate taratibu zipi ndani ya ccm wakati walimfukuza?

Amefungua kesi kama raia mwema mwenye mapenzi na nchi yake hivyo ni mwathirika kwa kiongozi atakayeweza kuchaguliwa bila kufuata taratibu za kupatikana kwake.
 
DODOMA. Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma itatoa uamuzi wa mapingamizi yaliyowekwa na CCM dhidi ya Mchungaji Godfrey Malisa anayepinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia chama hicho.

Mchungaji Malisa aliyefukuzwa uanachama Februari 10 mwaka huu, alipinga mchakato wa uteuzi wa Rais Samia uliofanyika Januari 19 na Mkutano Mkuu wa chama hicho, akisema umevunja Katiba ya CCM na Katiba ya Jamahuri ya Muungano.

Soma pia: Kesi ya Dk Malisa dhidi ya CCM yasogezwa hadi Agosti 19

Awali Agosti 6, Mchungaji Malisa aliwasilisha malalamiko yake katika Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma, ambapo kesi hiyo inasikilizwa na jopo la majaji watatu, Jaji Joachim Tiganga, Jaji Evaristo Lungopa na Jaji Griffin Mwakapeje na CCM ilipewa siku saba kujibu malalamiko hayo.

Kesi hiyo ilitarajiwa wajibu Agosti 14. Hata hivyo, kesi hiyo ilisogezwa hadi leo Agosti 19.

Taarifa kutoka mahakamani hapo zinasema, mawakili wa CCM Fabian Donates na Alex Mgongolwa wamekuja na mapingamizi wakisema hatua za kufungua shauri hilo hazikufuatwa kabla, wakati na baada na kwamba ndani ya CCM kuna hatua za kufuata kabla ya kwenda mahakamani.

Akijibu mapingamizi hayo, wakili wa mlalamikaji, Denis Maringo amesema kanuni zilifuatwa, kwani Februari mwaka huu, Mchungaji Malisa alimwandikia barua Rais Samia akimlalamikia kuhusu uteuzi wake.

Hata hivyo, mawakili wa CCM wamepinga wakisema, mlalamikaji alipaswa aandike barua kwa katibu wa ngazi husika na kwa kuwa anamlalamikia mwenyekiti wa chama, alipaswa kumwandikia Katibu Mkuu.

Baada ya maelezo ya pande mbili, ndipo kesi hiyo iliahirishwa hadi Agosti 22, 2025.

Akizungumzia kesi hiyo kwa simu leo, Mchungaji Malisa amesema kwa upande wao wameieleza mahakama kuwa wasingeweza kupeleka mashitaka kwa Katibu mkuu wa chama kwa kuwa yeye ndiye wanayemlalamikia na pia CCM wamevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano.

"Mawakili wa CCM wanasema hatukufuata utaratibu, tumewaambia kwamba mimi nilikutana na Katibu Mkuu, Dk Emmanuel Nchimbi tumeongea kwa saa mbili na ushahidi upo na picha zipo, taratibu gani nyingine?" amehoji.
Katika mapingamizi yake hakuweka kipengele cha Asiendelee na.shughuli zake ikiwemo kutafuta wadhamini mpaka kesi ya msingi iishe?
 
Awali Agosti 6, Mchungaji Malisa aliwasilisha malalamiko yake katika Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma, ambapo kesi hiyo inasikilizwa na jopo la majaji watatu, Jaji Joachim Tiganga, Jaji Evaristo Lungopa na Jaji Griffin Mwakapeje na CCM ilipewa siku saba kujibu malalamiko hayo.

TOKA MAKTABA​


05 Agosti 2025
TAARIFA / MREJESHO KILICHOTOKEA MBELE YA JOPO LA MAJAJI 3 KESI YA DHARURA YA KIKATIBA CCM KUVUNJA KATIBA

Jopo la majaji 3 Mahakama Kuu laona hoja ya Mzee Malisa, kuhusu CCM kuvunja katiba yake lina mashiko. Hivyo kuanza kusikilizwa.​





Mch. Dkt. Godfrey Malisa atoa mrejesho wa kilichotokea leo tarehe 5 August 2025

View: https://m.youtube.com/watch?v=2LPZZSfvxVc
Jopo la Majaji 3 wa Mahakama Kuu baada ya kusikiliza malumbano ya hoja za pande mbili kuhusu shauri la haraka lilofunguliwa na mzee Godfrey Malisa, limeona kuna mashiko.

Mahakama Kuu imetoa nafasi mawakili wa upande wa CCM waende kujipanga katika kesi hii ya dharura ya Kikatiba kuhusu uhalali wa mchakato uliotumika kumpata mgombea wa urais wa tiketi ya CCM ndugu Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea Oktoba 28, 2025 .

Hivyo suala hili litaanza kusililizwa tarehe 14 August 2025.

Katika shauri hilo mzee Godfrey Malisa anaiomba Mahakama Kuu kubatilisha (kufuta / nullify) mchakato uliotumika na mkutano mkuu wa CCM uliofanyika mwezi January 2025, kwa kuwa haukuwa na uhalali kwa kufuatana na katiba ya CCM na katika ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mzee Godfrey anasema ametiwa moyo na uamuzi wa Jopo la Majaji 3 wa Mahakama Kuu kuona shauri hilo la Dharura la kikatiba limepewa nafasi ya kuweza kuanza kusikilizwa.
 
19 August 2025
Dodoma, Tanzania

Mchungaji Dkt Godfrey Malisa: Tumevunja Misingi ya Haki na Demokrasia​


View: https://m.youtube.com/watch?v=OJ6z5GakMp4
Mchungaji Dkt Godfrey Malisa Asema Taifa Letu Limeiacha Haki na Demokrasia. Atoa Wito Mkubwa kwa Viongozi na Wananchi Kushikamana, Kulikomboa Taifa Linalopitia Kipindi Kigumu Ambacho Hakijawahi Kuonekana, Ili Kuweka Msingi Imara wa Maendeleo na Ukombozi wa Tanzania...

Mkae chini na kutumia simu janja ya jirani yako mkiwa 2 au 3 kwa wale wasio na simu janja msikilize ujumbe huu kuwa kama nchi tunapoelekea siyo salama maana mgombea urais kupitia tiketi ya CCM amezunja katiba..

Ukiwa na viongozi wa chama na nchi wasiojali katika ya chama na nchi, mbaya zaidi ambao wapo katika serikali na ikulu ya nchi yetu hii ni hatari sana ..

Hivyo ni lazima katiba ya nchi lazima iheshimiwe ...sasa naongea yale ya ndani ya Chama cha Mapinduzi kutekwa nyara ,kuburuzwa maana yake mali za Tanzania na haki za raia zinapunjwa ...

Rasilimali za taifa zitakuwa chini ya genge la wachache na wale waliokinunua chama cha mapinduzi CCM kwa harambee ya bilioni 87 huku mmoja wao kwa kujipiga kifua ametoa bilioni 10 kama bei ya kukidhibiti chama tawala kongwe tawala CCM..

Natoa wito ukaguzi wa mali za viongozi ikiwemo za Rais Samia Hassan, Makamu wa Rais wa Tanzania Dr. Philip Isidori Nzabhayanga Mpango, waziri mkuu Kassim Majaliwa, waziri wa fedha Mwigulu Nchemba .... na ripoti hizo zitolewe hadharani ndani ya wiki 3 kutoka leo mwezi agosti 19, 2025 ..

Wananchi wasusie bidhaa za mabepari waliokiteka nyara chama siku ya Harambee ya bilioni 87, raia wasusie energy drinks, cola na bidhaa za madalali hawa wa mali zetu za taifa ...
 
19 August 2025
Dodoma, Tanzania

Mchungaji Dkt Godfrey Malisa: Tumevunja Misingi ya Haki na Demokrasia​


View: https://m.youtube.com/watch?v=OJ6z5GakMp4
Mchungaji Dkt Godfrey Malisa Asema Taifa Letu Limeiacha Haki na Demokrasia. Atoa Wito Mkubwa kwa Viongozi na Wananchi Kushikamana, Kulikomboa Taifa Linalopitia Kipindi Kigumu Ambacho Hakijawahi Kuonekana, Ili Kuweka Msingi Imara wa Maendeleo na Ukombozi wa Tanzania...

Mkae chini na kutumia simu janja ya jirani yako mkiwa 2 au 3 kwa wale wasio na simu janja msikilize ujumbe huu kuwa kama nchi tunapoelekea siyo salama maana mgombea urais kupitia tiketi ya CCM amezunja katiba..

Ukiwa na viongozi wa chama na nchi wasiojali katika ya chama na nchi, mbaya zaidi ambao wapo katika serikali na ikulu ya nchi yetu hii ni hatari sana ..

Hivyo ni lazima katiba ya nchi lazima iheshimiwe ...sasa naongea yale ya ndani ya Chama cha Mapinduzi kutekwa nyara ,kuburuzwa maana yake mali za Tanzania na haki za raia zinapunjwa ...

Rasilimali za taifa zitakuwa chini ya genge la wachache na wale waliokinunua chama cha mapinduzi CCM kwa harambee ya bilioni 87 huku mmoja wao kwa kujipiga kifua ametoa bilioni 10 kama bei ya kukidhibiti chama tawala kongwe tawala CCM..

Natoa wito ukaguzi wa mali za viongozi ikiwemo za Rais Samia Hassan, Makamu wa Rais wa Tanzania Dr. Philip Isidori Nzabhayanga Mpango, waziri mkuu Kassim Majaliwa na ripoti hizo zitolewe hadharani ndani ya wiki 3..

Wananchi wasusie bidhaa za mabepari waliokiteka nyara chama siku ya Harambee ya bilioni 87, raia wasusie energy drinks, cola na bidhaa za madalali hawa wa mali zetu za taifa ...


Dr. Godfrey Malisa ameongea kizalendo bila kupepesa macho kuhusu kinachoendelea katika miaka 4 ya utawala wa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan jinsi walivyohodhi mali za taifa na kujipitisha kuwa viongozi kwa kukiukwa katiba ya nchi wazidi kujineemesha ..
 
Dr. Godfrey Malisa ameongea kizalendo bila kupepesa macho kuhusu kinachoendelea katika miaka 4 ya utawala wa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan jinsi walivyohodhi mali za taifa na kujipitisha kuwa viongozi kwa kukiukwa katiba ya nchi wazidi kujineemesha ..
Wajuzi wa katiba,
Hivi mahakama ikikubaliana na hoja za Malisa kuwa Samia alivunja katiba ya nchi kwenye mchakato wa kujiteua kugombea urais, nini itakuwa hatma ya urais wake?
 
DODOMA. Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma itatoa uamuzi wa mapingamizi yaliyowekwa na CCM dhidi ya Mchungaji Godfrey Malisa anayepinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia chama hicho.

Mchungaji Malisa aliyefukuzwa uanachama Februari 10 mwaka huu, alipinga mchakato wa uteuzi wa Rais Samia uliofanyika Januari 19 na Mkutano Mkuu wa chama hicho, akisema umevunja Katiba ya CCM na Katiba ya Jamahuri ya Muungano.

Soma pia: Kesi ya Dk Malisa dhidi ya CCM yasogezwa hadi Agosti 19

Awali Agosti 6, Mchungaji Malisa aliwasilisha malalamiko yake katika Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma, ambapo kesi hiyo inasikilizwa na jopo la majaji watatu, Jaji Joachim Tiganga, Jaji Evaristo Lungopa na Jaji Griffin Mwakapeje na CCM ilipewa siku saba kujibu malalamiko hayo.

Kesi hiyo ilitarajiwa wajibu Agosti 14. Hata hivyo, kesi hiyo ilisogezwa hadi leo Agosti 19.

Taarifa kutoka mahakamani hapo zinasema, mawakili wa CCM Fabian Donates na Alex Mgongolwa wamekuja na mapingamizi wakisema hatua za kufungua shauri hilo hazikufuatwa kabla, wakati na baada na kwamba ndani ya CCM kuna hatua za kufuata kabla ya kwenda mahakamani.

Akijibu mapingamizi hayo, wakili wa mlalamikaji, Denis Maringo amesema kanuni zilifuatwa, kwani Februari mwaka huu, Mchungaji Malisa alimwandikia barua Rais Samia akimlalamikia kuhusu uteuzi wake.

Hata hivyo, mawakili wa CCM wamepinga wakisema, mlalamikaji alipaswa aandike barua kwa katibu wa ngazi husika na kwa kuwa anamlalamikia mwenyekiti wa chama, alipaswa kumwandikia Katibu Mkuu.

Baada ya maelezo ya pande mbili, ndipo kesi hiyo iliahirishwa hadi Agosti 22, 2025.

Akizungumzia kesi hiyo kwa simu leo, Mchungaji Malisa amesema kwa upande wao wameieleza mahakama kuwa wasingeweza kupeleka mashitaka kwa Katibu mkuu wa chama kwa kuwa yeye ndiye wanayemlalamikia na pia CCM wamevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano.

"Mawakili wa CCM wanasema hatukufuata utaratibu, tumewaambia kwamba mimi nilikutana na Katibu Mkuu, Dk Emmanuel Nchimbi tumeongea kwa saa mbili na ushahidi upo na picha zipo, taratibu gani nyingine?" amehoji.

Alichosema Mchungaji Malisa:
Mchungaji Malisa
Watu wa Mungu nisaidieni ,
 
Ccm walipaswa wazuiwe wasifanye siasa na ofisi ya msajiri mpaka kesi hii iamuliwe.

Sema kwa sababu mi hadithi za kuku na yai tutakaa kimya.
 
Afuate taratibu zipi ndani ya ccm wakati walimfukuza?

Amefungua kesi kama raia mwema mwenye mapenzi na nchi yake hivyo ni mwathirika kwa kiongozi atakayeweza kuchaguliwa bila kufuata taratibu za kupatikana kwake.
Suala la ''hakufuata utaratibu wa ndani wa CCM'' siyo hoja inayoweza kufanya kesi kutupiliwa mbali na wakifanya hivyo ni makosa. Mahakama ndicho chombo sahihi ya kutoa haki na siyo vikao au taratibu za chama.
 
Suala la ''hakufuata utaratibu wa ndani wa CCM'' siyo hoja inayoweza kufanya kesi kutupiliwa mbali na wakifanya hivyo ni makosa. Mahakama ndicho chombo sahihi ya kutoa haki na siyo vikao au taratibu za chama.
Hii kesi ni ngumu sana kwa ccm kama majaji wataamua kuwa huru.
 
Lile genge huanza kuongea kupitia uvccm, bado vijana hawakatoa tamko? huwa hawajali mahakama
 
Back
Top Bottom