Busara ya mtu yeyote MUUNGWANA ni kuheshimu maamuzi ya mkuu wako hata kama huyapendi.
Au kukubali agizo kutoka kwa mamlaka iliyopo kihalali kwa faida ya baadaye.
Kinyume chake ni kukosa ADABU.
Ushauri wa bure kwa CDM. Kwa staili hii wasahau 2015 kwa mazonge ya UDINI na UGAIDI.
Wajipange kwa 2025. Waige mfano wa MUSLIM BROTHERHOOD!
washirikiane na wananchi katika kutoa huduma za jamii.
wasilazimishe kupendwa. Itawagharimu sana.
hata hiyo 2025 karibu sana