Kesi ya Lissu na wenzake: Makinda ahalalisha maamuzi ya Ndugai, aingiza kipengele kwenye kanuni

Naamini huu ndo utakuwa mwanzo wa mwisho wa kuwa na Spika mburura kama huyu!! Huyu mama akili yake ndogo sana kuweza kukalia kile kiti. Hakika kimempwaya!

Ina maana kanuni za Bunge zinatungwa kwa mtindo huo? Useless speaker!
 
Kama Spika aliwekwa na mafisadi lazima atakeleze matakwa ya mafisadi kikundi cha familia kumi ndio wamepelekea bunge kuwa danguro la matusi Spika na naibu wake ndio viongozi wa matusi
 
Back
Top Bottom