Kesi ya Lissu na hatima ya maridhiano

Kesi ya Lissu na hatima ya maridhiano

Huyo sio CCM huyo ni chawa,
Kama kuna kitu CCM kinatuharibia ni uwepo wa machawa.

Wakati wenzetu wanaweka hoja sisi CCM anatokea chawa analeta upuuzi.
Wanaitukanisha CCM mbele ya Umma.
😭😭😭
Yaani safari hii ccm Mungu kaamua awadhalilishe kwanza kabla ya anguko kuu 😂😂😂😂
 
tena urelax kabisa, na utulie kabisa katika kujifunza, kuongeza uelewa na ufahamu juu ya mambo mbalimbali ya kisiasa humu nchini, right gentleman? :NoGodNo:
Huna maana kama shepu za kichagga.
 
Gentleman,
haki anayostahili muhaini Lisu ni jela, kunyongwa hadi kurest in pisi, hakuna kingine.

suala la maridhiana ni la waTanzania raia wema tu, wahalifu ikiwa ni pamoja na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na mamaluki wao inafaa waendelee kusote korokoroni kulingana na uhalifu wao mpaka pale mahakama itakavyoamua vinginevyo.

hakuna haja ya porojo na upotoshaji kwenye suala la maridhiano eti ili yafanyike lazima sijui kibaraka au nani awepo ndio yafanyike, huo ni upotoshaji and that's completely nonsense:NoGodNo:
💩
 
Yaani safari hii ccm Mungu kaamua awadhalilishe kwanza kabla ya anguko kuu 😂😂😂😂
Kwani Funuku na timu yake ya wajenga kesi mchongo nachawa wanasemaje?
 
Back
Top Bottom