Kesi ya Lema kuna mkono wa Rais Magufuli?

Huhitaji kuwa na Phd Mkuu ili kujua kwamba kesi ya Godbless Lema si kesi ya kunyimwa dhamana. Mamlaka za juu zisizo na jina zimeshatia mkono wake ili kumkomoa Kamanda Lema. Mamlaka za juu ambazo zinaogopwa kutajwa hadharani wote tunazijua.

habar comrades,

Najaribu kuwaza tu! na nimejiuliza kwa nn mahakama inamnyima Lema dhamana wakati kesi yake inastahili dhamana?..je kesi yake ni ya mauaji mpaka mahakama imnyime dhamana?..hapa kweli hakuna kaarufu ka order kutoka juu?
 
Ina maana mlikua hamfahamu ilo?ndio maana yake jamaa kaamua kuingilia mahakama
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kumbe Wazungu ama hakika hawakukosea kutuita sisi Waafrika ' manyani / masokwe ' na huku ' wakitudharau ' kwani inaonyesha walifanya ' utafiti ' wao mkubwa sana na wakajitosheleza kuwa sisi Waafrika tuna ' tatizo ' kubwa tena la kiasili la kuwa na very ' hopeless ' IQ. Hivi kwa ' akili ' za kawaida tu Rais Dkt. Magufuli anaingiaje katika hiyo Kesi ya Lema? Je Rais ndiyo Hakimu? Je Rais ndiyo aliyemtuma huyo Lema wenu ' awehuke ' vile? Ungetumia platform hii kumsihi huyo Lema wako kuwa alichokuwa anakifanya siyo healthy politic bali ni uhuni mtupu na kuwasihi wengine jinsi ya kufanya Siasa zenye ' tija ' na faida kwa Mama Tanzania ningekuona wa maana mno. Nimekudharau sana Mkuu na ' samahani ' kwa hilo.
bonge la reject SAUT Mwanza
 
Ni "jamii ya wendawazimu'' pekee ambayo hoja hujibiwa kwa tusi ama kejeli. Baraza la Jamii (kama Jamii Forum inaweza pata tafsiri ya moja kwa moja ya kiswahili), linatuhusu sote tuliomo ndani ya "Jamii" mbalimbali ambazo hekima, busara na hata matusi huzifanya kuwa jamii. Lakini, kuwepo kwa matusi ama kejeli ndani ya jamii hizo HAKUTUFANYI TUONEKANE WANAJAMII HASWAA bali matusi ama lugha hizo za kejeli hututofautisha na wanajamii wengine na kuonesha kiwango cha kustaarabika tulicho nacho (sioni ajabu kuona post hii inajibiwa kwa tusi kwani ndio "jamii" ninayoizungumzia).

Ukiitazama kwa undani hoja ya mtoa mada, haihitaji jibu la kuanzia mahakamani tu bali nje ya mahakama kwa kulitazama "kosa" lililomuweka rumande na namna mahojiano ya kisheria dhidi ya mawakiri wa pande zote mbili yalivyochukua mkondo wake juu ya "kosa" hilo na maamuzi yaliyotolewa baadae.

Labda tujiulize (najua umeisha jiuliza);
Je, Lema pekee ndiye wa kwanza kutoa matamshi ya kumtabiria mtu kifo?
Kama Lema si wa kwanza, yule wa kwanza alichukuliwa hatua gani kwa matamshi ambayo hayakiwa ya "kimaono" kama ya Lema bali yaliyotoka katika vinywa vikavu vya watoaji wa kauli hizo dhidi ya mtu X ama Y kuwa "atakufa ndaani ya muda wa siku, wiki ama miezi michache"? Ama hizo hazikuwa kauli za "uchonganishi" (Ref. Uchaguzi uliopita)?
Kama Lema ndiye wa kwanza, sheria inasemaje kuhusu "imani, utabiri" (Daudi alitabiriwa kifo kwa kumchukua mke wa mpiganaji wake lakini "udaudi" wake haukutumika kubadilisha blue kuwa njano bali alitubu)?

Ukipata majibu ya huto tuswali n mengine utakayo yapata; njoo nayo barazani bila kejeli na matusi, mjibu mtoa hoja.

Alichokitoa mwenzetu ni mawazo yake ambayo unahiari ya kuyapokea kwa kuchangia for ama kuyakataa kwa kwenda against. Sasa humu kila hoja unayoikataa huikatai kwa hoja bali "matusi na kejeli". Hapo ndipo utakapogundua kuwa "NYUMA YA ID ZETU ZISIZO NA MAANA KWA WENGINE ILA KWETU PEKEE, NDIKO TABIA ZETU ZILIKOJIFICHA".
 


habar comrades,

Najaribu kuwaza tu! na nimejiuliza kwa nn mahakama inamnyima Lema dhamana wakati kesi yake inastahili dhamana?..je kesi yake ni ya mauaji mpaka mahakama imnyime dhamana?..hapa kweli hakuna kaarufu ka order kutoka juu?
 
katika watu hopeless first class ni wewe. nina uhakikia asilimia kubwa kuwa hata Huyo unae mtetea amekudharau.Haiwezekani hakimu awe amekuelekeza kukata rufaa halafu yeye huyohuyo anakubaliana na hoja za wakili wa serikali kuweka pingamizi tena halafu usijue kinachoendelea? Halafu unaleta ubishi kwa wenye akili?
Unaweza kuelekezwa kukata rufaa lakini ukakosea ama upande wa pili wakaja na hoja zilizoshiba. Kama upande wa pili wamekuja na hoja nzito hakimu hawezi kusema natoa dhamana kwa kuwa niliwaambia mawakili wakate rufaa!! Katika adversarial system wanaopambana ni wenye kesi hakimu yupo kama referee tu. Ukiwa na hoja nzito unashinda, ukiwa na hoja dhaifu unashindwa basi. Haijalishi hakimu alikuambiaje.
 
Kumbe Wazungu ama hakika hawakukosea kutuita sisi Waafrika ' manyani / masokwe ' na huku ' wakitudharau ' kwani inaonyesha walifanya ' utafiti ' wao mkubwa sana na wakajitosheleza kuwa sisi Waafrika tuna ' tatizo ' kubwa tena la kiasili la kuwa na very ' hopeless ' IQ. Hivi kwa ' akili ' za kawaida tu Rais Dkt. Magufuli anaingiaje katika hiyo Kesi ya Lema? Je Rais ndiyo Hakimu? Je Rais ndiyo aliyemtuma huyo Lema wenu ' awehuke ' vile? Ungetumia platform hii kumsihi huyo Lema wako kuwa alichokuwa anakifanya siyo healthy politic bali ni uhuni mtupu na kuwasihi wengine jinsi ya kufanya Siasa zenye ' tija ' na faida kwa Mama Tanzania ningekuona wa maana mno. Nimekudharau sana Mkuu na ' samahani ' kwa hilo.
Jidharau kwanza mwenyewe halafu dharau wengine kwani uwezo wako wa kufikiri umehitimisha kwa kudharau
 
Kumbe Wazungu ama hakika hawakukosea kutuita sisi Waafrika ' manyani / masokwe ' na huku ' wakitudharau ' kwani inaonyesha walifanya ' utafiti ' wao mkubwa sana na wakajitosheleza kuwa sisi Waafrika tuna ' tatizo ' kubwa tena la kiasili la kuwa na very ' hopeless ' IQ. Hivi kwa ' akili ' za kawaida tu Rais Dkt. Magufuli anaingiaje katika hiyo Kesi ya Lema? Je Rais ndiyo Hakimu? Je Rais ndiyo aliyemtuma huyo Lema wenu ' awehuke ' vile? Ungetumia platform hii kumsihi huyo Lema wako kuwa alichokuwa anakifanya siyo healthy politic bali ni uhuni mtupu na kuwasihi wengine jinsi ya kufanya Siasa zenye ' tija ' na faida kwa Mama Tanzania ningekuona wa maana mno. Nimekudharau sana Mkuu na ' samahani ' kwa hilo.
Afrika kila kitu kinawezekana
 
Gentamycine, kama kuna siku NIMEKUKUBALI, Leo ni moja ya Siku hizo! KunaBAADHI YETU, uelewa ni Mdogo,USHABIKI Wa kijinga tunachanganya na SHERIA, mtu anavunja sheria, sheria inambana, kwa ushabiki wako unamuhusisha RAIS!! NI UJINGA!! Wacha ajifunze hata akipata dhamana atapima hayo MAONO KABLA YA KUROPOKA
 
Kumbe Wazungu ama hakika hawakukosea kutuita sisi Waafrika ' manyani / masokwe ' na huku ' wakitudharau ' kwani inaonyesha walifanya ' utafiti ' wao mkubwa sana na wakajitosheleza kuwa sisi Waafrika tuna ' tatizo ' kubwa tena la kiasili la kuwa na very ' hopeless ' IQ. Hivi kwa ' akili ' za kawaida tu Rais Dkt. Magufuli anaingiaje katika hiyo Kesi ya Lema? Je Rais ndiyo Hakimu? Je Rais ndiyo aliyemtuma huyo Lema wenu ' awehuke ' vile? Ungetumia platform hii kumsihi huyo Lema wako kuwa alichokuwa anakifanya siyo healthy politic bali ni uhuni mtupu na kuwasihi wengine jinsi ya kufanya Siasa zenye ' tija ' na faida kwa Mama Tanzania ningekuona wa maana mno. Nimekudharau sana Mkuu na ' samahani ' kwa hilo.
Nawewe kwa kujipendekezaaa!
 
habar comrades,

Najaribu kuwaza tu! na nimejiuliza kwa nn mahakama inamnyima Lema dhamana wakati kesi yake inastahili dhamana?..je kesi yake ni ya mauaji mpaka mahakama imnyime dhamana?..hapa kweli hakuna kaarufu ka order kutoka juu?
Visasi, kukomoa na kuingilia mihimili mingine
 
Hili ni janga la kitaifa.
Toka vijana wa bavicha wajipe likizo ya kutafakari na kumuachia Lissu na Mbowe watafakari kwa niaba yao,wamejisahau kabisa kwamba likizo ina mwisho wake.

Leo upuuzi wa mtu mmoja ambae alitamani mke wake asipewe dhamana ili ajifunze maisha ya jela eti ndio raisi ajihusishe.... Hebu acheni dharau kwa mkuu
 
Vipi kwani una ushahidi wowote au unahisi tu
Wewe unaona ni sawa anayotendewa au unahisi anatendewa haki? Tuacheni sheria ifuatwe ili kila mtu atendewe haki. Yaani hii issue ya Lena inaitia najisi serikali hii. This guy has a right ya dhamana why not give him? Mimi nimelia nilipowaona watoto wa Lena kwenye picha iliyowekwa hapa jamvini leo. It is sad!
 
mtajiuliza sana hawamu hii,awamu hii aipendi ujinga,acha sheria ifuate mkondo wke,mwehu mmoja awezi kuharibu amani ya nchi ambayo watanzania wanaitunza kwa muda mrefu sana
Kama awamu hii haipendi ujinga nadhani wewe ungekuwa umeshafungwa jiwe na kushushwa ndani ya Indian Ocean. Ona ulichoandika kama kinakutenga na ujinga: hawamu ndio nini vile? Aipendi ndio nini? Awezi ni mdudu gani?
 
katika watu hopeless first class ni wewe. nina uhakikia asilimia kubwa kuwa hata Huyo unae mtetea amekudharau.Haiwezekani hakimu awe amekuelekeza kukata rufaa halafu yeye huyohuyo anakubaliana na hoja za wakili wa serikali kuweka pingamizi tena halafu usijue kinachoendelea? Halafu unaleta ubishi kwa wenye akili?
huna akili wew unazilazmisha ziwepo!!!!
 
Lema yuko shuleni anasoma bado anapata Elimu Dunia kwa bahati mbaya hakuipata kwa wazazi wake. Mwacheni afunzwe na ulimwengu.
 
Nimemdharau kwakuwa kaja na ' Hoja ' ya ' Kipuuzi ' kabisa ambayo naona na Wewe ni kama vile unataka kuikubali ili nawe nikuingize katika wale ninaowadharau kwa kutojua ' kufikiri '.
Watendaji Wote wa serikali wanafanya kazi kwa niaba ya rais. Acha kupotosha mkuu
 
Kumbe Wazungu ama hakika hawakukosea kutuita sisi Waafrika ' manyani / masokwe ' na huku ' wakitudharau ' kwani inaonyesha walifanya ' utafiti ' wao mkubwa sana na wakajitosheleza kuwa sisi Waafrika tuna ' tatizo ' kubwa tena la kiasili la kuwa na very ' hopeless ' IQ. Hivi kwa ' akili ' za kawaida tu Rais Dkt. Magufuli anaingiaje katika hiyo Kesi ya Lema? Je Rais ndiyo Hakimu? Je Rais ndiyo aliyemtuma huyo Lema wenu ' awehuke ' vile? Ungetumia platform hii kumsihi huyo Lema wako kuwa alichokuwa anakifanya siyo healthy politic bali ni uhuni mtupu na kuwasihi wengine jinsi ya kufanya Siasa zenye ' tija ' na faida kwa Mama Tanzania ningekuona wa maana mno. Nimekudharau sana Mkuu na ' samahani ' kwa hilo.
Wewe ndio nyani kkabisa, uwezo Wako WA kufikiri umegotea hapo
 
Back
Top Bottom