Kesi ya Lema kuna mkono wa Rais Magufuli?

habar comrades,

Najaribu kuwaza tu! na nimejiuliza kwa nn mahakama inamnyima Lema dhamana wakati kesi yake inastahili dhamana?..je kesi yake ni ya mauaji mpaka mahakama imnyime dhamana?..hapa kweli hakuna kaarufu ka order kutoka juu?

Kumbe Wazungu ama hakika hawakukosea kutuita sisi Waafrika ' manyani / masokwe ' na huku ' wakitudharau ' kwani inaonyesha walifanya ' utafiti ' wao mkubwa sana na wakajitosheleza kuwa sisi Waafrika tuna ' tatizo ' kubwa tena la kiasili la kuwa na very ' hopeless ' IQ. Hivi kwa ' akili ' za kawaida tu Rais Dkt. Magufuli anaingiaje katika hiyo Kesi ya Lema? Je Rais ndiyo Hakimu? Je Rais ndiyo aliyemtuma huyo Lema wenu ' awehuke ' vile? Ungetumia platform hii kumsihi huyo Lema wako kuwa alichokuwa anakifanya siyo healthy politic bali ni uhuni mtupu na kuwasihi wengine jinsi ya kufanya Siasa zenye ' tija ' na faida kwa Mama Tanzania ningekuona wa maana mno. Nimekudharau sana Mkuu na ' samahani ' kwa hilo.
 
Kumbe Wazungu ama hakika hawakukosea kutuita sisi Waafrika ' manyani / masokwe ' na huku ' wakitudharau ' kwani inaonyesha walifanya ' utafiti ' wao mkubwa sana na wakajitosheleza kuwa sisi Waafrika tuna ' tatizo ' kubwa tena la kiasili la kuwa na very ' hopeless ' IQ. Hivi kwa ' akili ' za kawaida tu Rais Dkt. Magufuli anaingiaje katika hiyo Kesi ya Lema? Je Rais ndiyo Hakimu? Je Rais ndiyo aliyemtuma huyo Lema wenu ' awehuke ' vile? Ungetumia platform hii kumsihi huyo Lema wako kuwa alichokuwa anakifanya siyo healthy politic bali ni uhuni mtupu na kuwasihi wengine jinsi ya kufanya Siasa zenye ' tija ' na faida kwa Mama Tanzania ningekuona wa maana mno. Nimekudharau sana Mkuu na ' samahani ' kwa hilo.
Kuna haja ya kumdharau mtu kwa kutoa mawazo yake? Je lema amekosea au hajakosea? Sasa tutajuaje nan anamakosa kama utammdharau nwenzio
 
habar comrades,

Najaribu kuwaza tu! na nimejiuliza kwa nn mahakama inamnyima Lema dhamana wakati kesi yake inastahili dhamana?..je kesi yake ni ya mauaji mpaka mahakama imnyime dhamana?..hapa kweli hakuna kaarufu ka order kutoka juu?
Kwa hiyo unajaribu kusema Rais Magufuli aliwaagiza kibatala na Mallya wakosee wapi pa kukata rufaa,taratibu za kukata rufaa?
 
Kumbe Wazungu ama hakika hawakukosea kutuita sisi Waafrika ' manyani / masokwe ' na huku ' wakitudharau ' kwani inaonyesha walifanya ' utafiti ' wao mkubwa sana na wakajitosheleza kuwa sisi Waafrika tuna ' tatizo ' kubwa tena la kiasili la kuwa na very ' hopeless ' IQ. Hivi kwa ' akili ' za kawaida tu Rais Dkt. Magufuli anaingiaje katika hiyo Kesi ya Lema? Je Rais ndiyo Hakimu? Je Rais ndiyo aliyemtuma huyo Lema wenu ' awehuke ' vile? Ungetumia platform hii kumsihi huyo Lema wako kuwa alichokuwa anakifanya siyo healthy politic bali ni uhuni mtupu na kuwasihi wengine jinsi ya kufanya Siasa zenye ' tija ' na faida kwa Mama Tanzania ningekuona wa maana mno. Nimekudharau sana Mkuu na ' samahani ' kwa hilo.
katika watu hopeless first class ni wewe. nina uhakikia asilimia kubwa kuwa hata Huyo unae mtetea amekudharau.Haiwezekani hakimu awe amekuelekeza kukata rufaa halafu yeye huyohuyo anakubaliana na hoja za wakili wa serikali kuweka pingamizi tena halafu usijue kinachoendelea? Halafu unaleta ubishi kwa wenye akili?
 
Acha kutokwa povu Mpuuzi wewe.
Unamdharau mtu ambaye hata humjui,si ulofa huo

Kwani na Wewe ' sometimes ' unavyopuka labda kwa Wayne Rooney wa Man United kushuka ' Kiwango ' kwani na yeye huwa mnajuana au anakujua? Kwa mapungufu yenu makubwa ya akili kama haya kila siku nitakuwa ' nawadharau '.
 
Ukifikiria sana kesi ya Lema, hakika hata machozi yanaweza kukulenga lenga........

Inawezekanaje mahakama ing'ang'anie kumnyima dhamana kama vile Lema ana murder case?

Hivi kumbe ukipata maono na kuyaweka hadharani, kwa mahakama zetu tayari una murder case?

Mbona hata Bwana yule kwenye mazishi ya Masaburi, alitamka hadharani kuwa Lowasa atakufa, JK naye atakufa na yeye mwenyewe naye 'alijitabiria' kifo?

Mbona 'maono' hayo ya Bwana yule hayakuonekana kama murder or treason case?!

Ila hayo matamshi ya Lema ndiyo yanachukuliwa kama treason or murder case!!!

It is obvious haiwezekani mahakama ikomae kiasi hicho kumnyima dhamana Lema dhamana ambayo ni haki yake kisheria kama siyo 'order' toka juu..........

Hata hivyo hakuna kitu chochote hapa duniani kilichokuwa na mwanzo kikakosa kuwa na mwisho.....
 
Maandishi mengi yaliyojaa ' GIGO ' na ' TITO ' tupu.
Na ndio maana hata niambiwer ukiwa ccm utalipwa shs milioni moja kila siku siwezi kujiunga kwasababu nitakuwa nimejiunga na kundi la wajinga kabisa duniani.Kuna watu walikuwa vipanga walipo jiunga ccm tu wanacho sema daah utawaonea huruma.Gentamycine hata kiswahili hajui kazi kubishana na wenye akili.
 
Na ndio maana hata niambiwer ukiwa ccm utalipwa shs milioni moja kila siku siwezi kujiunga kwasababu nitakuwa nimejiunga na kundi la wajinga kabisa duniani.Kuna watu walikuwa vipanga walipo jiunga ccm tu wanacho sema daah utawaonea huruma.Gentamycine hata kiswahili hajui kazi kubishana na wenye akili.

Ningekuwa Mimi ndiyo Wewe halafu nikaambiwa kuwa ' maandiko ' yangu yote niliyoyaandika ni full of ' GIGO ' and ' TITO ' nadhani ningezima kabisa ' gadget ' ninayoitumia na nisingerudi tena lakini yawezekana hujui maana yake na unachekelea tu. Pole sana!
 
Kumbe Wazungu ama hakika hawakukosea kutuita sisi Waafrika ' manyani / masokwe ' na huku ' wakitudharau ' kwani inaonyesha walifanya ' utafiti ' wao mkubwa sana na wakajitosheleza kuwa sisi Waafrika tuna ' tatizo ' kubwa tena la kiasili la kuwa na very ' hopeless ' IQ. Hivi kwa ' akili ' za kawaida tu Rais Dkt. Magufuli anaingiaje katika hiyo Kesi ya Lema? Je Rais ndiyo Hakimu? Je Rais ndiyo aliyemtuma huyo Lema wenu ' awehuke ' vile? Ungetumia platform hii kumsihi huyo Lema wako kuwa alichokuwa anakifanya siyo healthy politic bali ni uhuni mtupu na kuwasihi wengine jinsi ya kufanya Siasa zenye ' tija ' na faida kwa Mama Tanzania ningekuona wa maana mno. Nimekudharau sana Mkuu na ' samahani ' kwa hilo.
Wewe ndiye haswa hao wazungu walikuona nakutuita manyani!!!
 
Kumbe Wazungu ama hakika hawakukosea kutuita sisi Waafrika ' manyani / masokwe ' na huku ' wakitudharau ' kwani inaonyesha walifanya ' utafiti ' wao mkubwa sana na wakajitosheleza kuwa sisi Waafrika tuna ' tatizo ' kubwa tena la kiasili la kuwa na very ' hopeless ' IQ. Hivi kwa ' akili ' za kawaida tu Rais Dkt. Magufuli anaingiaje katika hiyo Kesi ya Lema? Je Rais ndiyo Hakimu? Je Rais ndiyo aliyemtuma huyo Lema wenu ' awehuke ' vile? Ungetumia platform hii kumsihi huyo Lema wako kuwa alichokuwa anakifanya siyo healthy politic bali ni uhuni mtupu na kuwasihi wengine jinsi ya kufanya Siasa zenye ' tija ' na faida kwa Mama Tanzania ningekuona wa maana mno. Nimekudharau sana Mkuu na ' samahani ' kwa hilo.
Mimi nimefanya utafiti nimegundua waafrika ni kama nyoka,na viongozi wetu wengi ni jamii ya nyoka aitwae black mamba.Mzungu akiona nyoka kala nyoka wanaona ngoma droo.
 
Back
Top Bottom