Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Wakuu
Kesi inaendelea tena leo,na shahidi wa nne Bwana Salim Mpemba ambaye alikuwa Katibu wa ccm wilaya anatoa ushahidi wake.
1.Wakili Mugwai.Wewe ni nani na nafasi yako
2.Shahidi.Mimi ni Salim Mpemba,katibu wa ccm wilaya ya Kyela,kabla ya kuhamia Kyela nilikuwa katibu hapa Arusha mjini,
3.wakili Mugwai.Je professional yako ni nini?
4.Shahidi.Mimi ni polisi,na niliazimwa na ccm mwaka 1984,hadi mfumo wa vyama vingi ulipoanza ambapo nilichagua kubaki ndani ya chama,na nimetumika kama Katibu wa wilaya
5.Wakilu Mugwai.Je unakumbuka mwaka 2010 kulikuwa na uchaguzi
6.Shahidi.Ndio nakumbuka
7.Wakili Mugwai.Nani alikuwa mgombea ubunge kwa tiketi ya chama chako?
8.Shahidi.Dr Batilda Burian
9.wakili Mugwai.Nani alikuwa msimamizi mkuu wa uchaguzi?
10.Shahidi.Mkurugenzi wa manispaa ya Arusha,ambaye namfahamu kwa jina moja la Bwana Changa.
11.Wakili Mugwai.Msimamizi wa uchaguzi aliwapa maelekezo yoyote?
12.Shahidi.Ndio,alitutaka vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi,kupeleka ratiba za mikutano ya hadhara,ikionyesha,mahali,tarehe,na muda,na mimi nikamtuma Katibu mwenezi wa wilaya Bwana Semy Kiondo,kupeleka ratiba hiyo.
Kesi inaendelea tena leo,na shahidi wa nne Bwana Salim Mpemba ambaye alikuwa Katibu wa ccm wilaya anatoa ushahidi wake.
1.Wakili Mugwai.Wewe ni nani na nafasi yako
2.Shahidi.Mimi ni Salim Mpemba,katibu wa ccm wilaya ya Kyela,kabla ya kuhamia Kyela nilikuwa katibu hapa Arusha mjini,
3.wakili Mugwai.Je professional yako ni nini?
4.Shahidi.Mimi ni polisi,na niliazimwa na ccm mwaka 1984,hadi mfumo wa vyama vingi ulipoanza ambapo nilichagua kubaki ndani ya chama,na nimetumika kama Katibu wa wilaya
5.Wakilu Mugwai.Je unakumbuka mwaka 2010 kulikuwa na uchaguzi
6.Shahidi.Ndio nakumbuka
7.Wakili Mugwai.Nani alikuwa mgombea ubunge kwa tiketi ya chama chako?
8.Shahidi.Dr Batilda Burian
9.wakili Mugwai.Nani alikuwa msimamizi mkuu wa uchaguzi?
10.Shahidi.Mkurugenzi wa manispaa ya Arusha,ambaye namfahamu kwa jina moja la Bwana Changa.
11.Wakili Mugwai.Msimamizi wa uchaguzi aliwapa maelekezo yoyote?
12.Shahidi.Ndio,alitutaka vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi,kupeleka ratiba za mikutano ya hadhara,ikionyesha,mahali,tarehe,na muda,na mimi nikamtuma Katibu mwenezi wa wilaya Bwana Semy Kiondo,kupeleka ratiba hiyo.