Kesi ya immigration

KAUMZA

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
699
237
LEARNED BRO AND SISTERS! Ndugu zangu, katika miaka ya 1990 ilitokea kesi moja mkoani Rukwa ambapo kuna mbwa alikuwa anaitwa IMMIGRATION. Idara ya uhamiaji ilifungua kesi mahakamani kwamba idara hiyo imedhalilishwa kwa jina la idara kupewa mbwa.Katika hukumu yake, mahakama iliauru mbwa yule auawe.

Nawaombeni, anaeijua vema kesi hiyo aijadili na kama kuna nakala ya hukumu si vibaya akiiweka hapa ili tupate kuivinjari
 
kwa hiyo precedent ni kwamba: nikimwita mbwa wangu immigration, lazima auawe? Au ni idara yoyote ya serikali? Na nikimwita polisi?hahahaha au uwt?
 
Nakumbuka yule mbwa alihukumiwa kifo na aliuawa lakini jaji mkuu aliingilia kati na kuitengua hukumu wakati Immigration keshauawa, wataalamu wa sheria nadhani watatueleza zaidi nini kilitokea.
 
kosa lilikuwa la umbwa au la mwenye umbwa.....wenye kuhusika na sheria za wanyama walikuwa wapi?....sheria zingine bana
 
Jamani anaejua kwa kina kesi hiyo naomba atupe darasa kwa kutumwagia mzigo mzima
 
March 3, 1998: Nairobi - Tanzania's justice department has made legal history after a Primary Court magistrate in Rukwa, Tanzania, sentenced a dog to death by hanging, the regional weekly newspaper "The East African" reported in Nairobi, Kenya, yesterday.

The dog's owner, John Kachela (25) was sentenced to a six-month suspended jail sentence and his dog, [named] "Immigration", sent to the gallows "to hang until it dies", after the court ruled that Kachela was guilty of scandalizing the department of immigration.

Stanley Anyitike, the prosecuting immigration officer, told the court that Kachela mischievously gave the name of this "highly respected and law-abiding" government department to his dog and almost every other day went to the immigration department and other public places proudly calling the animal by name.

The mongrel is on death row, with no appeal against conviction or sentence, application for stay of execution or petition to the High Court.

The Tanzania Society for Prevention of Cruelty to Animals has appealed to advocates of the court to take up the matter in the name of "kindness to God's creatures".
This dog, "Immigration" is obviously an innocent participant in this act of free speech.
But in a senseless act of cruelty by the magistrate, he orders this innocent animal to die for the guilty party, who got a suspended sentence.
This kind of hardness of heart is enough to make you sick.
And even though this case is not appealable in Tanzania, it is most definitely appealable to the Highest Court, and the highest Judge, the Lord God, who will judge the thoughts and intent of everyone's heart.
This appeal will take place "in a little while".
I'm not sure how long.
In the meantime, we need to do what we can to stop such senseless and cruel acts, but at the same time never lose sight of the end time promise of God to make everything right again.
Because this story involves a dog, a human companion, it attracts more attention; however, what is happening to this dog is no different than what is happening to millions of other animals every day, who are condemned to suffer and die, without a trial, to satisfy the human appetite.
We're just suffering the pains that come before our joy, just as the example that Jesus gives us.


source: In A Little While...an all creatures Bible message, love, compassion, creation, God, Jesus, Lord, Holy Spirit, peace, patience, churches, Methodist, Baptist, sermons, inspiration, good, prayer, cruelty free, lifestyle, animals, animal rights, Frank L
 
You are in: World: Africa
nothing.gif
Front Page World
blue_map.gif
Africa Americas Asia-Pacific Europe Middle East South Asia -------------From Our Own Correspondent -------------Letter From America UK UK Politics Business Sci/Tech Health Education Entertainment Talking Point In Depth AudioVideo
nothing.gif

nothing.gif


nothing.gif


nothing.gif



[FONT=Verdana,Arial,sans-serif]SERVICES [/FONT]
nothing.gif
[FONT=Verdana,Arial,sans-serif]Daily E-mail
News Ticker
Mobiles/PDAs
dotted_line.gif

Feedback
Help
[/FONT]
dotted_line.gif

[FONT=Verdana,Arial,sans-serif]Low Graphics


BBC News | AFRICA | Dog sentenced to hang over his name
[/FONT]
nothing.gif
Monday, 2 March, 1998, 14:11 GMT Dog sentenced to hang over his name

A court in Tanzania has sentenced a dog to death and given its owner a suspended jail term because of its name, according to newspaper reports.
The East African journal said the dog, named 'Immigration' by its 25-year-old owner, was sentenced to hang by a judge in Rukwa.
Death row inmate
It is currently on death row while an appeal is heard.
The magistrate found the dog's owner guilty of scandalising the department of immigration by choosing that particular name for his pet. Prosecutors told the court that the owner had mischievously given the dog the name of a highly respected and law-abiding government department. He had also compounded the crime by going to the department on a daily basis and boasting of its name.

 
kosa lilikuwa la umbwa au la mwenye umbwa.....wenye kuhusika na sheria za wanyama walikuwa wapi?....sheria zingine bana
Kosa lilikuwa la mwenye mbwa lakini cha ajabu akahukumiwa mbwa. Lakini wahusika wa sheria za wanyama walipiga kelele na ndio maana ilipigiwa kelele sana.
 
Mahakama nyingi za mwanzo zinahitaji sana mahakimu wasomi zaidi wa sheria.
 
mh so leo nikimwita dog wangu ivyo leo hii mm nitasomewa shitaka la kuuwawa kama dog
 
mh so leo nikimwita dog wangu ivyo leo hii mm nitasomewa shitaka la kuuwawa kama dog

Next time ukiwa na mbwa mwite BOT...hahahaha
alafu uwe unampitisha pale BOT na kumwita ivyo kwa nguvu. Kutokana na hii kesi, itailazimu mahakama kumwua mbwa wako...hahaha!
 
nadhani hata wanafunzi wa chuo kitivo cha sheria walipewa sijuhi ulikuwa ni mtihani ama case study ya hiyo case kwenye hiyo miaka
 
Nakumbuk hii jamaa alikuwa anapigwa Dandana na Immigration akaamua amwite Mbwa wake. Jina..
 
Back
Top Bottom