Mzee wa Baraza Alikuwa Anasinzia Wakati Kesi ya Shambulio la aibu Inaendelea.
Hakimu : Mlalamikaji ieleze Mahakama Alicho Kuambia Mshtakiwa.
Mlalamikaji : Mheshimiwa Hakimu Maneno aliyonambia Hayasemeki.
Hakimu: Basi Yaandike kwenye Karatasi.
Mlalamikaji : Akaandika, "Twende Tuka sex" akampa Hakimu.
Hakimu : Baada ya Kuisoma akawapa Wazee wa Baraza Wasome.
Mzee wa kwanza Alipomaliza kuisoma, akampa wa pili, ambae alikuwa ni mwanamke, naye akampa mzee aliyekuwa anasinzia.
Mzee ile kuisoma tuu, akastuka.....
Akasema kwa sauti ya Chini...!
"Eeh..! Sasa hivi au baada ya Baraza..?"
Hakimu : Mlalamikaji ieleze Mahakama Alicho Kuambia Mshtakiwa.
Mlalamikaji : Mheshimiwa Hakimu Maneno aliyonambia Hayasemeki.
Hakimu: Basi Yaandike kwenye Karatasi.
Mlalamikaji : Akaandika, "Twende Tuka sex" akampa Hakimu.
Hakimu : Baada ya Kuisoma akawapa Wazee wa Baraza Wasome.
Mzee wa kwanza Alipomaliza kuisoma, akampa wa pili, ambae alikuwa ni mwanamke, naye akampa mzee aliyekuwa anasinzia.
Mzee ile kuisoma tuu, akastuka.....
Akasema kwa sauti ya Chini...!
"Eeh..! Sasa hivi au baada ya Baraza..?"