Kesi ya aibu

fired

Senior Member
Apr 4, 2021
151
310
Mzee wa Baraza Alikuwa Anasinzia Wakati Kesi ya Shambulio la aibu Inaendelea.

Hakimu : Mlalamikaji ieleze Mahakama Alicho Kuambia Mshtakiwa.

Mlalamikaji : Mheshimiwa Hakimu Maneno aliyonambia Hayasemeki.

Hakimu: Basi Yaandike kwenye Karatasi.

Mlalamikaji : Akaandika, "Twende Tuka sex" akampa Hakimu.

Hakimu : Baada ya Kuisoma akawapa Wazee wa Baraza Wasome.

Mzee wa kwanza Alipomaliza kuisoma, akampa wa pili, ambae alikuwa ni mwanamke, naye akampa mzee aliyekuwa anasinzia.

Mzee ile kuisoma tuu, akastuka.....

😳
😳
😳

Akasema kwa sauti ya Chini...!

"Eeh..! Sasa hivi au baada ya Baraza..?"
😴
 
Mzee wa Baraza Alikuwa Anasinzia Wakati Kesi ya Shambulio la aibu Inaendelea.
Hakimu : Mlalamikaji ieleze Mahakama Alicho Kuambia Mshtakiwa.
Mlalamikaji : Mheshimiwa Hakimu Maneno aliyonambia Hayasemeki.
Hakimu: Basi Yaandike kwenye Karatasi.
Mlalamikaji : Akaandika, "Twende Tuka sex" akampa Hakimu.
Hakimu : Baada ya Kuisoma akawapa Wazee wa Baraza Wasome.
Mzee wa kwanza Alipomaliza kuisoma, akampa wa pili, ambae alikuwa ni mwanamke, naye akampa mzee aliyekuwa anasinzia.
Mzee ile kuisoma tuu, akastuka.....
😳
😳
😳

Akasema kwa sauti ya Chini...!
"Eeh..! Sasa hivi au baada ya Baraza..?"
Wahuni hawa, wallah watakua CCM
 
Mzee wa Baraza Alikuwa Anasinzia Wakati Kesi ya Shambulio la aibu Inaendelea.
Hakimu : Mlalamikaji ieleze Mahakama Alicho Kuambia Mshtakiwa.
Mlalamikaji : Mheshimiwa Hakimu Maneno aliyonambia Hayasemeki.
Hakimu: Basi Yaandike kwenye Karatasi.
Mlalamikaji : Akaandika, "Twende Tuka sex" akampa Hakimu.
Hakimu : Baada ya Kuisoma akawapa Wazee wa Baraza Wasome.
Mzee wa kwanza Alipomaliza kuisoma, akampa wa pili, ambae alikuwa ni mwanamke, naye akampa mzee aliyekuwa anasinzia.
Mzee ile kuisoma tuu, akastuka.....
😳
😳
😳

Akasema kwa sauti ya Chini...!
"Eeh..! Sasa hivi au baada ya Baraza..?"
😴
Vizeee vimalaya Malaya vinapatikana CCM
 
Mzee wa Baraza Alikuwa Anasinzia Wakati Kesi ya Shambulio la aibu Inaendelea.
Hakimu : Mlalamikaji ieleze Mahakama Alicho Kuambia Mshtakiwa.
Mlalamikaji : Mheshimiwa Hakimu Maneno aliyonambia Hayasemeki.
Hakimu: Basi Yaandike kwenye Karatasi.
Mlalamikaji : Akaandika, "Twende Tuka sex" akampa Hakimu.
Hakimu : Baada ya Kuisoma akawapa Wazee wa Baraza Wasome.
Mzee wa kwanza Alipomaliza kuisoma, akampa wa pili, ambae alikuwa ni mwanamke, naye akampa mzee aliyekuwa anasinzia.
Mzee ile kuisoma tuu, akastuka.....
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft87%2F1.5%2F16%2F1f633.png&hash=eb49c71dc81666c7491d4da90957bf74" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft87%2F1.5%2F16%2F1f633.png&hash=eb49c71dc81666c7491d4da90957bf74" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft87%2F1.5%2F16%2F1f633.png&hash=eb49c71dc81666c7491d4da90957bf74" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />

Akasema kwa sauti ya Chini...!
"Eeh..! Sasa hivi au baada ya Baraza..?"
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft8%2F1.5%2F16%2F1f634.png&hash=16d2b1bbc39f78662cdf0e9221656593" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
 
Back
Top Bottom