Kama ningekuwa Sabaya yale mabilion yote niliyoiba naenda kuzichimbia zizini Longido ndani ndani huko karibu na kina
Stroke. Halafu baada ya hii hukumu namuita maza na mshua kuwaomba wa nisamehe na kuwanong'onezea pesa zilipo. Baada ya hapo natembea kisongo gerezani uchi siku tatu mfululizo kulaani mamlaka za juu kwa kunisababishia hizi zahama halafu najiua.
Hakuna haja ya kuendelea kuishi tena bila Mbususu, wali na wine.
Coach Slamah Hamad Chaliifrancisco Stroke