jenerali kibibi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,167
- 611
hii kesi lissu ndio aliiwasha moto ktk hatua zile za awali
Hapo sasaNdo huyo wanamwitaga wakili msomi?
Hahahahahii kesi lissu ndio aliiwasha moto ktk hatua zile za awali
lissu kweny sheria utampenda tuHahahaha
Asante kwa taarifaKESI namba 457 (Jamhuri v Maxence Melo na mwenzake Micke William) inayohusu kampuni za CUSNA Investment na Ocean Link kudaiwa kukwepa kodi Bandarini Dar na kunyanyasa wafanyakazi wa kitanzania imeendelea leo Juni 01, 2018 katika Mahakama ya Mkazi, Kisutu.
Akisoma shauri hilo Hakimu Godfrey Mwambapa amesema washitakiwa hawana kesi ya kujibu na hiyo Mahakama imewaachia huru kuanzia leo. Hili ni moja kati ya mashauri 3 yaliyokuwa yanawakabili washtakiwa. Kwa mantiki hiyo, bado kuna mashtaka 2 yatakayotajwa mahakamani hapa Juni 18.
Kesi hii namba 457 iliyokuwa ikiikabili JamiiForums, ilihusu kampuni ya CUSNA Investment ambayo ilidaiwa kufoji nyaraka bandarini, kukwepa kodi na kuwatesa wafanyakazi wazalendo na kupendelea wageni toka nje ya nchi.
Mkuu umenena lakini ngoja niseme kitu. Kwa uzoefu wangu nchi yetu haijawahi kuwa na sheria za haki. Na hakuna anayejishughulisha kupigia kelele hili la kujaribu kuzifanya sheria zetu kuwa za haki. Kwa mfano hapo unaweza kukuta hata hao malaika na sultan wao walijua hakuna kesi hapo tangu mwanzo lakini wao waliridhika tu kutumia jeshi la polisi kusumbua watu tu basi na roho zao zimefurahi. Mfano hawa makarani wakubwa wa wilaya sijui mnawaita wakuu wa wilaya na wa mkoa eti wana mamlaka kisheria kumuweka mtu ndani masaa 48 bila hata kuhojiwa. Kungekuwa na upande wa pili kuwa ikithibitika kuwa haikuwa haki kuwekwa ndani, aliyafanya hivyo anawajibika kisheria, oooh hapo tungeenda sawa. Lakini sasa hivi ukigombania demu na mkuu wa mkoa ujue saa 48 jela inakuhusu ingawa wenyewe wanaita mahabusu.Hii maana yake nini, maana yake ni kwamba pale waendesha mashitaka wanapolazimishwa ku-indict watu huku ikionekana wazi kesi haina "Merits" zozote kisheria basi tu ili mradi kutii amri kutoka juu. Very Shameful.
Mungu ametufikisha salama mwisho wa safari yetu
JAMIIFORUMS haijasema hawajui identity ya KWAYU na AMRI SHIPURI, bali wamekataa kuwatambulisha kwa polisi kwa sababu hakukuwa na arrest warrant pamoja na kuelezwa makosa yao.
Kwa hiyo serikali ikirekebisha criminal procedure ya kuomba majina ya wachangiaji JAMIIFORUMS itatuchondoa. Plain and simple.
That must scare the living daylights out of every person in these forums who treasures free expression.
Mkuu whitehorse,
Hii ni sehemu ya kwanza ya safari. Bado tuna kesi mbili, hivyo maombi na jitihada ya kuhakikisha tunasafiri salama bado ni mhimu. Ila Alhamdullillah, tulipofika ni mwanzo mzuri.
..halafu kuna BINADAMU anatamani Shetani ASHUKE afungie mitandao (ukiwemo pendwa JF). Ashindwe KABISA!JF ni mpango wa Mungu aliye hai.