Kesi namba 457: Mahakama yasema Maxence Melo na Micke William hawana Kesi ya kujibu! Yawaachia huru

Ndio maana ya kuachiwa huru ina maana kesi imefutwa na file limechomwa moto


Wamesema June 18 wanarudi mahakamani kwa mashitaka mengine mawili, utasemaje kesi imefutwa?

Lakini hata kama ingekuwa imefutwa yote bado utetezi wa JamiiForums kwetu sote UNATISHA.

JAMIIFORUMS haijasema hawajui identity ya KWAYU na AMRI SHIPURI, bali wamekataa kuwatambulisha kwa polisi kwa sababu hakukuwa na arrest warrant pamoja na kuelezwa makosa yao.

Kwa hiyo serikali ikirekebisha criminal procedure ya kuomba majina ya wachangiaji JAMIIFORUMS itatuchondoa. Plain and simple.

That must scare the living daylights out of every person in these forums who treasures free expression.
 
JAMII-FORUMS2.jpg
KESI namba 457 (Jamhuri v Maxence Melo na mwenzake Micke William) inayohusu kampuni za CUSNA Investment na Ocean Link kudaiwa kukwepa kodi Bandarini Dar na kunyanyasa wafanyakazi wa kitanzania imeendelea leo Juni 01, 2018 katika Mahakama ya Mkazi, Kisutu.

Akisoma shauri hilo Hakimu Godfrey Mwambapa amesema washitakiwa hawana kesi ya kujibu na hiyo Mahakama imewaachia huru kuanzia leo. Hili ni moja kati ya mashauri 3 yaliyokuwa yanawakabili washtakiwa. Kwa mantiki hiyo, bado kuna mashtaka 2 yatakayotajwa mahakamani hapa Juni 18.

Kesi hii namba 457 iliyokuwa ikiikabili JamiiForums, ilihusu kampuni ya CUSNA Investment ambayo ilidaiwa kufoji nyaraka bandarini, kukwepa kodi na kuwatesa wafanyakazi wazalendo na kupendelea wageni toka nje ya nchi.
JAMII-FORUMS.jpg
 
JAMII-FORUMS2.jpg
KESI namba 457 (Jamhuri v Maxence Melo na mwenzake Micke William) inayohusu kampuni za CUSNA Investment na Ocean Link kudaiwa kukwepa kodi Bandarini Dar na kunyanyasa wafanyakazi wa kitanzania imeendelea leo Juni 01, 2018 katika Mahakama ya Mkazi, Kisutu.

Akisoma shauri hilo Hakimu Godfrey Mwambapa amesema washitakiwa hawana kesi ya kujibu na hiyo Mahakama imewaachia huru kuanzia leo. Hili ni moja kati ya mashauri 3 yaliyokuwa yanawakabili washtakiwa. Kwa mantiki hiyo, bado kuna mashtaka 2 yatakayotajwa mahakamani hapa Juni 18.

Kesi hii namba 457 iliyokuwa ikiikabili JamiiForums, ilihusu kampuni ya CUSNA Investment ambayo ilidaiwa kufoji nyaraka bandarini, kukwepa kodi na kuwatesa wafanyakazi wazalendo na kupendelea wageni toka nje ya nchi.
JAMII-FORUMS.jpg
Ishii
 
Back
Top Bottom