Kesi namba 457 (Jamhuri v Maxence Melo na mwenzake Micke William) inayohusu kampuni za CUSNA Investment na Ocean Link kudaiwa kukwepa kodi Bandarini Dar na kunyanyasa wafanyakazi wa kitanzania imeendelea leo Juni 01, 2018 katika Mahakama ya Mkazi, Kisutu.
Akisoma shauri hilo Hakimu Godfrey...
Kesi namba 457 (Jamhuri v Maxence Melo na mwenzake Micke William) inayohusu kampuni za CUSNA Investment na Ocean Link kudaiwa kukwepa kodi Bandarini Dar na kunyanyasa wafanyakazi wa kitanzania imeendelea leo Mei 28, 2018 katika Mahakama ya Mkazi, Kisutu.
Hata hivyo kesi hii inayosikilizwa mbele...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Mei 28, 2018 kutoa uamuzi kama Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jamii Forums, Maxence Melo na mwenzake wana kesi ya kujibu au la.
Uamuzi huo wa Mahakama umetolewa leo Mei 22, 2018 na Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama hiyo, Godfrey Mwambapa baada ya...
KISUTU: Kesi namba 457 (Jamhuri vs Maxence Melo na mwenzake Micke William) kuhusiana na tuhuma zilizowekwa katika mtandao wa JamiiForums juu ya Kampuni za Cusna Investment na Ocean Link kukwepa kodi na kunyanyasa wafanyakazi wazalendo imeendelea leo tena Mahakamani hapa.
Kesi hii imeahirishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.