Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Ile kesi ya kuandamana bila kibali,inayowakabili viongozi wa Kitaifa pamoja na wabunge na wanachama,itaanza kusikilizwa leo
Tayari washtakiwa wote wameshafika,na viwanja vya mahakama vimefurika wananchi
Tayari washtakiwa wote wameshafika,na viwanja vya mahakama vimefurika wananchi