Kesi ikiisha kiandikwe kitabu cha kesi ya kwanza ya ugaidi Tanzania

Tulimumu

JF-Expert Member
Mar 11, 2013
14,305
12,969
Baada ya jaribio la kuipindua serikali ya awamu ya kwanza ya Nyerere miaka ya themanini na wahusika wa mapinduzi kupelekwa mahakamani kisha kuhukumiwa kuliandikwa kitabu maalumu kwaajili ya kilichoendelea mahakamani wakati wa kesi kiliitwa KESI YA UHAINI. Humo ndimo wengi tulijua kilichptokea kutokana na mahojiano ya mashahidi na mawakili.

Ili kuweka kumbu kumbu vizuri nashauri pia hii kesi inayomkabili Mbowe ikiisha kuandikwe kitabu cha matukio yote yaliyotokea mahakamani kwa maaana ya mwenendo mzima wa kesi na mahojiano ya mawakili na mashahidi.V KESI YA KWANZA YA UGAIDI TANZANIA
 
Baada ya jaribio la kuipindua serikali ya awamu ya kwanza ya Nyerere miaka ya themanini na wahusika wa mapinduzi kupelekwa mahakamani kisha kuhukumiwa kuliandikwa kitabu maalumu kwaajili ya kilichoendelea mahakamani wakati wa kesi kiliitwa KESI YA UHAINI. Humo ndimo wengi tulijua kilichptokea kutokana na mahojiano ya mashahidi na mawakili.

Ili kuweka kumbu kumbu vizuri nashauri pia hii kesi inayomkabili Mbowe ikiisha kuandikwe kitabu cha matukio yote yaliyotokea mahakamani kwa maaana ya mwenendo mzima wa kesi na mahojiano ya mawakili na mashahidi.V KESI YA KWANZA YA UGAIDI TANZANIA
Mpaka sasa mwenendo wa kesi una kurasa 325!!! Bado uchambuzi wa jaji pamoja na rejea itafika kurasa 1000!!!
 
Mpaka sasa mwenendo wa kesi una kurasa 325!!! Bado uchambuzi wa jaji pamoja na rejea itafika kurasa 1000!!!
Izo page 325 ni sawa na tripu alizoenda nazo apo mahakamani akitumia mafuta ya serikali ktk yale mabasi. Ndio maana hiii nchi inaakuwa masikini, kwa Kuwa na maishu yasiyokuwa na ushaidi duhu. Kesi ukiangalia inaonekana ya kutengenezwa na inazungushwa kwa ajili ya kumkomoa mwamba wa kaskazini Mbowe. Apo bado majaji na mahakimu wanalipwa yaani hii nchi bwana shida sana
 
Baada ya jaribio la kuipindua serikali ya awamu ya kwanza ya Nyerere miaka ya themanini na wahusika wa mapinduzi kupelekwa mahakamani kisha kuhukumiwa kuliandikwa kitabu maalumu kwaajili ya kilichoendelea mahakamani wakati wa kesi kiliitwa KESI YA UHAINI. Humo ndimo wengi tulijua kilichptokea kutokana na mahojiano ya mashahidi na mawakili.

Ili kuweka kumbu kumbu vizuri nashauri pia hii kesi inayomkabili Mbowe ikiisha kuandikwe kitabu cha matukio yote yaliyotokea mahakamani kwa maaana ya mwenendo mzima wa kesi na mahojiano ya mawakili na mashahidi.V KESI YA KWANZA YA UGAIDI TANZANIA
Na kitakuwa case study kwa wanafunzi wa sheria na rejea ya kesi zijazo za ugaidi
 
Back
Top Bottom