Kesho tukusanyike kwa uwingi Ufipa

Kesho tukusanyike kwa uwingi Ufipa

Natoa wito kwa wananchi wote waliochoshwa na mfumo mbovu wa ccm kesho tukusanyike kwa wingi pale makao makuu ya Chadema kinondoni-ufipa tumsindikize mheshimiwa sana waziri mkuu mstaafu Lwaigwanan Mkuu, Mbunge wa Monduli, Nguli wa siasa za Tanzania, Mtu anayechukia umaskini, Edward Ngoyai Lowassa kuchukua fomu za kugombea urais kupitia chama makini cha Chadema, ikiwa kama ni utaratibu tu kwani yeye ameshakuwa Rais wa nchi hii ambayo akina Riz1 walishajitangazia umiliki wake
Kweli anachukia umasikini kawaahidi pro-Chadema wote watakuwa kama Mengi na Bakheresa.
 
Rais wa miyoni mwenu dr wa ukweli Slaa atakuwepo???
 
Natoa wito kwa wananchi wote waliochoshwa na mfumo mbovu wa ccm kesho tukusanyike kwa wingi pale makao makuu ya Chadema kinondoni-ufipa tumsindikize mheshimiwa sana waziri mkuu mstaafu Lwaigwanan Mkuu, Mbunge wa Monduli, Nguli wa siasa za Tanzania, Mtu anayechukia umaskini, Edward Ngoyai Lowassa kuchukua fomu za kugombea urais kupitia chama makini cha Chadema, ikiwa kama ni utaratibu tu kwani yeye ameshakuwa Rais wa nchi hii ambayo akina Riz1 walishajitangazia umiliki wake

jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni.
 
Natoa wito kwa wananchi wote waliochoshwa na mfumo mbovu wa ccm kesho tukusanyike kwa wingi pale makao makuu ya Chadema kinondoni-ufipa tumsindikize mheshimiwa sana waziri mkuu mstaafu Lwaigwanan Mkuu, Mbunge wa Monduli, Nguli wa siasa za Tanzania, Mtu anayechukia umaskini, Edward Ngoyai Lowassa kuchukua fomu za kugombea urais kupitia chama makini cha Chadema, ikiwa kama ni utaratibu tu kwani yeye ameshakuwa Rais wa nchi hii ambayo akina Riz1 walishajitangazia umiliki wake
Saa ngapi naya NEC lini sio vitu vya kukosa.
 
Mbona waweseka bado MTITI wa kampeni hiyo si fomu ya chama wala sio ishu bado hata ya NEC.

anatakiwa atulie wakati sindano inamuingia,japo anapata maumivu makali avumilie tu manake ndio dawa yenyewe hiyo.
 
Back
Top Bottom