Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,453
Hizo t-shirts zinapatikana wapi wajameni?
Sikubali lazima na mie nipate top moja matata sana.
wanadai zime mwagika sana dar mitaa ya kinondoni (sina uhakika).
Hizo t-shirts zinapatikana wapi wajameni?
Sikubali lazima na mie nipate top moja matata sana.
Kweli anachukia umasikini kawaahidi pro-Chadema wote watakuwa kama Mengi na Bakheresa.Natoa wito kwa wananchi wote waliochoshwa na mfumo mbovu wa ccm kesho tukusanyike kwa wingi pale makao makuu ya Chadema kinondoni-ufipa tumsindikize mheshimiwa sana waziri mkuu mstaafu Lwaigwanan Mkuu, Mbunge wa Monduli, Nguli wa siasa za Tanzania, Mtu anayechukia umaskini, Edward Ngoyai Lowassa kuchukua fomu za kugombea urais kupitia chama makini cha Chadema, ikiwa kama ni utaratibu tu kwani yeye ameshakuwa Rais wa nchi hii ambayo akina Riz1 walishajitangazia umiliki wake
..inaonesha bado hujaelimika..nakusikitikiaIf necessary,boya mwenyewe
Natoa wito kwa wananchi wote waliochoshwa na mfumo mbovu wa ccm kesho tukusanyike kwa wingi pale makao makuu ya Chadema kinondoni-ufipa tumsindikize mheshimiwa sana waziri mkuu mstaafu Lwaigwanan Mkuu, Mbunge wa Monduli, Nguli wa siasa za Tanzania, Mtu anayechukia umaskini, Edward Ngoyai Lowassa kuchukua fomu za kugombea urais kupitia chama makini cha Chadema, ikiwa kama ni utaratibu tu kwani yeye ameshakuwa Rais wa nchi hii ambayo akina Riz1 walishajitangazia umiliki wake
Kweli anachukia umasikini kawaahidi pro-Chadema wote watakuwa kama Mengi na Bakheresa.
Saa ngapi naya NEC lini sio vitu vya kukosa.Natoa wito kwa wananchi wote waliochoshwa na mfumo mbovu wa ccm kesho tukusanyike kwa wingi pale makao makuu ya Chadema kinondoni-ufipa tumsindikize mheshimiwa sana waziri mkuu mstaafu Lwaigwanan Mkuu, Mbunge wa Monduli, Nguli wa siasa za Tanzania, Mtu anayechukia umaskini, Edward Ngoyai Lowassa kuchukua fomu za kugombea urais kupitia chama makini cha Chadema, ikiwa kama ni utaratibu tu kwani yeye ameshakuwa Rais wa nchi hii ambayo akina Riz1 walishajitangazia umiliki wake
Saa ngapi naya NEC lini sio vitu vya kukosa.
Rais wa miyoni mwenu dr wa ukweli Slaa atakuwepo???
Kweli anachukia umasikini kawaahidi pro-Chadema wote watakuwa kama Mengi na Bakheresa.
Mbona waweseka bado MTITI wa kampeni hiyo si fomu ya chama wala sio ishu bado hata ya NEC.