Kesho nayo ni siku

Kesho nayo ni siku

Kazanazo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
6,047
Reaction score
9,228
Leo imeisha hivyo,

Katika mizunguuko yangu ya siku hatimae nimerejea nyumbani, nimerejea nikiwa na maumivu ndiyo! Ni maumivu ya uchovu wa kazi lakini pia ni maumivu ya kukosa bila kuambulia chochote yaani nimetoka patupu

Basi najisemea siku hazifanani kesho nayo siku

Ndio hivyo wakuu.
 
Kuna jamaa yupo kwa shemeji anachekacheka tu

All in all kila jambo la kumshukuru muumba mkuu
Wewe siku ukipata basi kuna mtu kakosa pia

Bila kusahau katika utafutaji wako wa kila siku hakikisha hukanyagi mkate wa mwingine
 
Daah ila sio mbaya kunasiku utasoma hii postutabasamu. Ila mda mwingine mambo yakiwa magumu Zaid zama Dm za watu hata watatu hukosi chochote hata ideas pia zipo.
 
Vijana wa uzi wa efootball watakucheka
11BBC38F-27E4-471D-AB82-43C54A85C5ED.jpeg
 
Back
Top Bottom