Kesho Magufuri atakuwa na ziara mkoani Pwani yakuzinduani viwanda 5 vikubwa kati ya 80 ambavyo bado vinaendelea na ujenzi. Mkoa wa Pwani pekee toka ameingia raisi Magufuri unazaidi ya viwanda 200 ambavyo vingine vimeisha navingine vipo katika ujenzi.
Viwanda vinavyozinduliwa kesho. Nikiwanda cha Chuma, kiwanda chakukausha matunda kwaajili yasoko la nje, kiwanda cha vifungashio, kiwanda cha juisi na kiwanda chakutengeneza tractor. Serikali ya Viwanda ya Doctor John Pombe Magufuri
Viwanda vinavyozinduliwa kesho. Nikiwanda cha Chuma, kiwanda chakukausha matunda kwaajili yasoko la nje, kiwanda cha vifungashio, kiwanda cha juisi na kiwanda chakutengeneza tractor. Serikali ya Viwanda ya Doctor John Pombe Magufuri