- Thread starter
- #41
Nie ndo wachawi wenyewe!
!
Siku vikifa asisite kwenda kuvifunga
Nie ndo wachawi wenyewe!
!
Siku vikifa asisite kwenda kuvifunga
Mkuu kuna kiwanda cha cement cha $1.2 Billion pamoja na industrial park kutoka SINOC Kampuni ya serikali ya China. Kitakuwa ndokiwanda kikubwa cha cement East and Central Africa kuliko ata cha Dangote. Kitazalisha 6 million tonnes of cement per year, 30% of cement for domestic use and 70% for export. Direct employment 2000 Kitatengeneza. Pia cement yao ndoitatumika kujenga Silk road. Hii nikampuni ya serikali ya China. Vifaa vyakiwanda vimeshaanza kuingia nchini. Kwa sasa kwenye swala la viwanda ni speed 360.Kwa miaka mitatu ijayo kujenga nyumba ya kisasa Tanzania itakua ni rahisi kuliko hata gharama za kuishi.
Sababu tuna mega industries zinazohusika na vifaa vya ujenzi kama
1. Kiwanda cha cement (more than 10)
2. Kiwanda cha ceramic tiles
3. Kiwanda cha chuma
4. Kiwanda cha gypsum
5. Kiwanda cha vigae (roofing materials)
6. Viwanda vya electronic accessories
7. Viwanda vya bati
And the list goes on
Wakenya wapate somo kwamba sisi ni donor country soon to be officialMkuu kuna kiwanda cha cement cha $1.2 Billion pamoja na industrial park kutoka SINOC Kampuni ya serikali ya China. Kitakuwa ndokiwanda kikubwa cha cement East and Central Africa kuliko ata cha Dangote. Kitazalisha 6 million tonnes of cement per year, 30% of cement for domestic use and 70% for export. Direct employment 2000 Kitatengeneza. Pia cement yao ndoitatumika kujenga Silk road. Hii nikampuni ya serikali ya China. Vifaa vyakiwanda vimeshaanza kuingia nchini. Kwa sasa kwenye swala la viwanda ni speed 360.View attachment 528035View attachment 528036
Kesho anaendelea na uzinduzi wa viwanda vingeni. Amedai viwanda nivingi sana kiasi kwamba anauwe wakutumia mwezi mzima akizundua tu viwanda. Ameomba wafanyakazi wazawa wawe wazalendo kuvilinda viwanda.
Unanielewa vipi!!Ipo kwa jukwa ya Kenya kawaida inferiority complex yasuambua. Always proving you can do it to your big brother otherwise karibu, uzuri tunakuelewa.
Tunapo sema Tanzania mpya