Kwa mujibu wa walivyosema kupitia habari ni kwamba kesho Jumatatu wanatarajia kuwa na kikao,hivyo ndugu zangu wasafiri kesho tujiandae kupanda bodaboda make vikao vyao kinachofata sote tunakijua.
Dah! ama kweli dunia hadaa...Kwanini Kichwa Chako Cha Habari Kisingekuwa " Kesho Madereva Kugoma Tena "? Kwahiyo Wakiwa ktk Hicho Kikao Chao Tutaendeshwa Na Shangazi Na Wajomba Zako? au? Muwe Mnanyoosha Maelezo Na Maneno Yenu Bhana!
Makonda alikimbia na Microphones ili kumnyima nafasi Kamanda Mbowe aliyekuwa na solution ya muda mrefu, asitoe mchango wake ili utukufu uende kwa Makonda!.
Haya sasa Makonda, ulidhani umepata utukufu, siku 12 leo tangu uwaahidi madreva. Au ndiyo umeitisha kikao ili utangaze mgomo wako?
Msiwafanye watanzania majuha. Kama huna solution, usikimbilie kuwadanganya bila mkakati. Sasa itajulikana nani juha kati ya Madreva na Makonda.
kumbe siku 12 tokea makonda atoe tamko lake.
labda kesho atakuja na mrejesho wa suluhisho.
Kwani Mbowe ni nani nchi? ana mamlaka gani! acheni kushabikia vitu kisiasa...au ni migomo ya kutengeneza!Makonda alikimbia na Microphones ili kumnyima nafasi Kamanda Mbowe aliyekuwa na solution ya muda mrefu, asitoe mchango wake ili utukufu uende kwa Makonda!.
Haya sasa Makonda, ulidhani umepata utukufu, siku 12 leo tangu uwaahidi madreva. Au ndiyo umeitisha kikao ili utangaze mgomo wako?
Msiwafanye watanzania majuha. Kama huna solution, usikimbilie kuwadanganya bila mkakati. Sasa itajulikana nani juha kati ya Madreva na Makonda.
Kwani Makonda nao wanagoma au wamewadanganyaje madereva hapo mbona sijawaelewa?