Kesho madereva wana kikao

Kesho madereva wana kikao

Mkuu anaitwa Freeman Mbowe. Ni mwenyekiti wa CHADEMA taifa, na ni Waziri Mkuu kivuli!. Uwe unafuatilia masula ya kitaifa mkuu, utaaibika.

Kwani Mbowe ni nani nchi? ana mamlaka gani! acheni kushabikia vitu kisiasa...au ni migomo ya kutengeneza!
 
Jamani jaribuni kidogo kuweka sawa hili neno (jina) Makonda, manake kuna watu naona tumewaacha njia panda, wanaposikia Makonda wao wanadhani ni makondakta wa mabus na daladala. Ngoja huyu jamaa mkuu wa wilaya ya kinondoni tumwite tu Mh. Makonda, nadhani wataelewa sasa.
 
Back
Top Bottom