Kesho Maaskofu wakija na kauli tusile walivyochinja je itakua salama?

Kesho Maaskofu wakija na kauli tusile walivyochinja je itakua salama?

Life2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,377
Reaction score
4,847
Herini ya Sikukuu ya Noeli wale wote wanaosherekea siku hii nzuri ya kuzaliwa kwa Mkombozi wetu Yesu Kristo.

Ni mwendelezo wa kauli za kibaguzi zenye mlengo wa kuibua chokochoko za kidini ila uzuri hiki ni kizazi cha wanaojielewa.

Mimi rafiki yangu ni Mwisilamu, anayenikopesha nikiishiwa ni Mwisilamu, nikiishiwa Unga naomba kwa Zuena and vice versa is true.

Wakati viongozi wa Kikristo wakifanya jukumu lao la kuhubiri Haki na Amani kuna Mashehe wao wamechukua majukumu ya Msigwa kuisemea serikali.

Uzuri hawana hoja watanzania wametambua hilo, kauli zao nyingi niza kibaguzi zisizo na mantiki yoyote zikielemea kidini.

Wamesahau jukumu lao la kukemea mabaya na kuirekebisha serikali pale inapokwenda kinyume.

Sidhani kama Risasi za tarehe 29 zilichagua.

Nakumbuka miaka ya nyuma kuna sakata la uchinjaji, nani anastahili kuchinja liliibuka.

Uzuri Serikali ya kipindi kile ilikemea mapema sana na mambo yalikaa vizuri.

Mambo yamekua kinyume kwa sasa wote wanaotoa kauli zenye mlengo wa kidini hasa kushambulia Wakristo wamekua wakipigiwa makofi.

Kauli hizi za kidini hazina Afya kwa taifa letu wote tujikite kwenye kudai Haki na sio kuanza kushambulia upande 1 uliosimama kwenye kutenda na kusema ukweli.
 
Tunawashukuru sana wenzetu wa upande mwingine kwa kuendelea kuongozwa na hekima na busara. Nawasihi sana wenzetu wachache wanaowatolea kauli za karaha muwapuuze na wasiwafanye mkapungukiwa na hekima.

Endeleeni kukiishi kile kitendawili cha mtu aliyekuwa anaoga mtoni halafu kichaa akakimbia na nguo zake, je huyo mtu akitoka na kukimbizana na yule kichaa ili apewe nguo zake, sio wote watakuwa vichaa?

Binafsi, nakerwa sana na watu wanaohangaika na kushughulishwa na imani za wengine, nawasihi sana waache viherehere!
 
Uislamu na waislamu ni dini ya chuki,Huwa siamini katika elimu kuwa kigezo cha kutambua uelewa wa mtu lakini kupitia hawa watu ni sahihi kuamini kuwa elimu Ina nafasi katika kukuza uelewa na upambanuaji wa mambo,si mnamuona hata rais wao mwenye D ya kiswahili,akifuatiwa na masheikh wao wenye D za dini ya kiarabu.


Mtu yoyote akiishika elimu dunia kamwe hawezi fungamanishwa na dini za mabeberu au hawa wafiraji wa kiarabu.

Hitimisho: ni Bora mara 1000 kuwa mpagani kuliko kuwa muislamu
 
Herini ya Sikukuu ya Noeli wale wote wanaosherekea siku hii nzuri ya kuzaliwa kwa Mkombozi wetu Yesu Kristo.

Ni mwendelezo wa kauli za kibaguzi zenye mlengo wa kuibua chokochoko za kidini ila uzuri hiki ni kizazi cha wanaojielewa.

Mimi rafiki yangu ni Mwisilamu, anayenikopesha nikiishiwa ni Mwisilamu, nikiishiwa Unga naomba kwa Zuena and vice versa is true.

Wakati viongozi wa Kikristo wakifanya jukumu lao la kuhubiri Haki na Amani kuna Mashehe wao wamechukua majukumu ya Msigwa kuisemea serikali.

Uzuri hawana hoja watanzania wametambua hilo, kauli zao nyingi niza kibaguzi zisizo na mantiki yoyote zikielemea kidini.

Wamesahau jukumu lao la kukemea mabaya na kuirekebisha serikali pale inapokwenda kinyume.

Sidhani kama Risasi za tarehe 29 zilichagua.

Nakumbuka miaka ya nyuma kuna sakata la uchinjaji, nani anastahili kuchinja liliibuka.

Uzuri Serikali ya kipindi kile ilikemea mapema sana na mambo yalikaa vizuri.

Mambo yamekua kinyume kwa sasa wote wanaotoa kauli zenye mlengo wa kidini hasa kushambulia Wakristo wamekua wakipigiwa makofi.

Kauli hizi za kidini hazina Afya kwa taifa letu wote tujikite kwenye kudai Haki na sio kuanza kushambulia upande 1 uliosimama kwenye kutenda na kusema ukweli.

Nikisoma baadhi ya post nabaki na tafakuri....
Nafikiri mtu asipotumia akili vizuri anaweza kuzima moto kwa kutumia mafuta ya taa bila kujua.
Hata hivyo Tanzania tuna janga la Hesabu linalofanya watu wengi wakose uwezo wa kuchambua mambo vizuri....
 
Ukwwli ni kuwa waislam 99.99% ni wabaguzi wa asili kabisa awe hajasoma au aunesoma.Yeye ndugu anayemtambua ni Muslim mwenzake,huku maofisini na kwwnyw biashara tunawaona.
Kwa kweli ndugu zetu waislam ni zaidi ya tatizo,sijui wakoje-mbaya zaidi kiongozi fulani kwenye Ofisi akiwa Muslim ndio utaona rangi yao.

Kwa Tanzania bahati nzuri wakristo walio wengi hawana nongwa laiti wakiamue wawatreat hao Muslim kama ambavyo wao wana treat wakristo
 
Herini ya Sikukuu ya Noeli wale wote wanaosherekea siku hii nzuri ya kuzaliwa kwa Mkombozi wetu Yesu Kristo.

Ni mwendelezo wa kauli za kibaguzi zenye mlengo wa kuibua chokochoko za kidini ila uzuri hiki ni kizazi cha wanaojielewa.

Mimi rafiki yangu ni Mwisilamu, anayenikopesha nikiishiwa ni Mwisilamu, nikiishiwa Unga naomba kwa Zuena and vice versa is true.

Wakati viongozi wa Kikristo wakifanya jukumu lao la kuhubiri Haki na Amani kuna Mashehe wao wamechukua majukumu ya Msigwa kuisemea serikali.

Uzuri hawana hoja watanzania wametambua hilo, kauli zao nyingi niza kibaguzi zisizo na mantiki yoyote zikielemea kidini.

Wamesahau jukumu lao la kukemea mabaya na kuirekebisha serikali pale inapokwenda kinyume.

Sidhani kama Risasi za tarehe 29 zilichagua.

Nakumbuka miaka ya nyuma kuna sakata la uchinjaji, nani anastahili kuchinja liliibuka.

Uzuri Serikali ya kipindi kile ilikemea mapema sana na mambo yalikaa vizuri.

Mambo yamekua kinyume kwa sasa wote wanaotoa kauli zenye mlengo wa kidini hasa kushambulia Wakristo wamekua wakipigiwa makofi.

Kauli hizi za kidini hazina Afya kwa taifa letu wote tujikite kwenye kudai Haki na sio kuanza kushambulia upande 1 uliosimama kwenye kutenda na kusema ukweli.
HUU UKWELI ...KIKRISTO NI HARAMU KULA VILIVYO CHINJWA NA WAISLAMU KWA SABABU UFANYIWA DUA NA KUELEKEZWA KIBRA ...UKISOMA INJILI IMEKATAZA KULA VYAKULA VILIVYO FANYIWA IBADA ZA MIUNGU YAANI MUNGU ASIYE KUBALIKA AU DINI ISIYO KUBALIKA.
 
Back
Top Bottom