Kesho bidhaa kuuzwa nusu bei Mlimanicity

Kesho bidhaa kuuzwa nusu bei Mlimanicity

ukweli ni upi?

matola usijibu wengine wanalipwankujaaza threadwashaambiwa nanmwingine wametangaza na clouds

sasa utabishana na anaebishana na radio
embu tule wcup

mod funga hii tunangalia game sasa
 
matola usijibu wengine wanalipwankujaaza threadwashaambiwa nanmwingine wametangaza na clouds

sasa utabishana na anaebishana na radio
embu tule wcup

mod funga hii tunangalia game sasa

afadhali kabisa!!
 
afadhali kabisa!!

hahaaa mkuu chaki polesana

hiyo kitu inajulikana through media tangu jana na kuna ntu kaandika src sijui ipi unataka wewee zaidi...

..dah pole naona umekasirika kwelii unahisi wadaganywa

nimekushtukia uwahi pekeyako yanii jf mtandao wa watatu iko miwili nshaawajulisha. Jua tuko wengi ata useme nadanganya watu wapungue hakika kesho hiyo tutakuwa wote ata iweje
 
Kama ni shoprite inayoenda kuchukuliwa na nakumatt inaezekana. Hawa jamaa bei zao mpaka unashangaa huwezi amini
 
Kama ni shoprite inayoenda kuchukuliwa na nakumatt inaezekana. Hawa jamaa bei zao mpaka unashangaa huwezi amini

Ndio Hao mkuu

Sema angalizo tuangalie na

EXP. DTE MUHIMU
MTAKUNYA DAMU NA VITU VYA BURE
 
Nimetokahapo NDIO NAPAKI HAPA TANKIBOVU NJOO NA LAMI KUN BAR INA ITWA TOPGAARAGE NI PM

ILA AINA PUNGUZO


LABDA SIKUYAMWISHO YA FINAL

THEETEGEEEKIDDIN
Matola njoo unitafsirie alichoandika mpwa wako
 
Last edited by a moderator:
bidhaa had TV, radio's heaters zina punguzo au ni kwenye vyakula tu.

Shoprite hakuna TV wala redio. ni mivyakula iliyo ekspaya tu. ununue ukale uvimbiwe upate kansa. Dogo hata TV unataka nusu bei ? hata mimi si ningezinunua zote halafu nikafungua duka.
 
Mamayangu mwanamke Leo anamiaka miwili hapo chini
Njoo usijaribu Njoo chukua

Mkuu samahani, sijapenda namna ulivyoapa hapo juu, kama utaweza badili kiapo ila si kwa lazima bali kwa hiari. Naamini umenielewa, Asante.
 
Hiyo ni signature ya Pdidy hapa jf, na ni msomi wa masters udsm. taratibu utakuja kumuelewa bila kuhitaji dikshenari.

Ujamalizia Still under probation JF
 
Mkuu samahani, sijapenda namna ulivyoapa hapo juu, kama utaweza badili kiapo ila si kwa lazima bali kwa hiari. Naamini umenielewa, Asante.

Ok be
Dltd
 
Back
Top Bottom