Huyu nani??
ray mbongo movie
Labda picha yake ime-editiwa.....
Ray amekua hivi?????
Tyta yupo hai kweli? Kama upo hai tunakukumbuka ila kama umeshatangulia Mungu akupe pumziko la milele
Yani umenifanya nicheke kwa nguvu jamani.
Jamani kwani kuwa msanii mpk ujibadili kuwa Dada na was Dada kuwaje sasa
Ndio usanii wenyewe huo mkuu