Kerry: Tungedungua ndege za Urusi

Kerry: Tungedungua ndege za Urusi

Mkuu mn'gato watu wana utani eti Meli iliyo na nuclear powerd engine..ina mzigo wa kutosha vifaru..ndege za kijeshi na wanajeshi zaidi ya 3000 zipite ndege mbili juu iyumbishwe wakati ina mzigo wa izo nyingi tuu..nimemshangaa mkuu nikapata jibu anadhani ni kama zile zinazoyeyuka dar port..
 
urusi anaigopa sana US kuliko kitu chochote kile, hiyo mikwala hata tanzania tunaweza piga, au huoni north korea, iran au mgabe anavyotukanaga western lakin hawana time nao? ili uone hasira za US gusa maslahi yao lazima uisome namba. US hapiganagi vita vya hasara hata siku moja, ni deal tu
Dah! Akhsante mkuu.......maana jamaa tambo zao unaweza ukadhani asubuhi zinapigwa
 
Urusi na Amerika wote wana viwanda vya silaha na hizo mbwembwe ni kuzifanyia majaribio silaha mpya. Hata hizi vita vya nchi za kiarabu na za kiafrika ni mwendelezo wa kuimarisha viwanda hivyo. Wanatupiganisha halafu wanatuuzia silaha na wananchi wao wanapata ajira na serikali zao zinapata kodi na hapo hatuna ujanja. Mbona hatujiulizi kwa nini wazungu hawapigani wenyewe kwa wenyewe?
Akhsante mkuu, kweli hapo panafikirisha
 
Unajua tukiangalia kwa makini hapa kinachoonekana sio uwezo wa kijeshi hapana ni uwezo wa KIJASUSI

russia inaonekana wako vizuri sana kwenye maswala ya ujasusi na hizo system za marekani kuwa jammed lazima kuna inside job ambayo inafanywa na wamarekani kwa kuwapa information Russians
 
apitishe bas anga za uturuki akione cha moto! syria ndege yoyote inaruka hata jwtz inaruka tu
We mlevi nini, maana mlevi hana kosa wakati kalewa, au utakuwa shoga, maan hata haki yako huijui.
 
Marekani haiwezi kuthubutu kufanya lolote, makeke tu na majigambo wanaonea nchi ndogo tu hata Taifa kama Korea ya kasikazini inaweza kuitoa kamasi itakuwa Urusi, kama wangekuwa wanajiamini mbona jetfighters za Urusi zilikuwa zinakatiza kwa kasi hardly 50 above water mpaka Wamarekani wakalalamika kwamba sonic boom/wake ilifanya meli nzima ianze kuyumba yumba si hilo tu Urusi irusha a subsonic Helicopter ya kipelelezi ikapiga picha Destroyer walikaa angani kwa muda walio taka wenyewe Uncle SAM didn't attempt to stop them or did they?

Kisa hiki kinatufanya tubaki tunajiuliza maswali mengi? Kwa nini Marekani analalamika kwamba walijaribu kuwasiliana na marubani wa kirusi kwa kutumia frequency za kimataifa bila mafanikio, je marubani wa Warusi walizima radio zao/transponders zao wakiwa na lengo gani?

Je Wamarekani wanaeleza kila kitu kilicho wasibu kwa siku mbili mfululizo mfano Destroyer yao kukumbwa na ukosefu wa mawasiliano i.e kuzimwa kwa system zao za kielectronic kutoka kwenye a land based Jammer tukiweka maanani kwamba meli ilikuwa umbali wa 50 nautical miles kutoka pwani ya Urusi, wenzetu wana aiborne, landbased fixed na mobile radio jammers - juzi juzi hapa Korea ya Kusini na Marekani walilakamika kwamba Korea Kasikasizi umejamm mawimbi ya GPS yanayo tumika kuongozea smart bombs zao kwenye targets na mambo mengine nyeti, Wamarekani wanailahumu Urusi kwamba ndiyo iliwahuzia Korea kasikazini mitambo mobile ya ku jamm mawasiliano - ndio maana nasema Wamarekani hawatuelezi kila kitu kilicho wasibu kwa siku mbili mfulululizo!!

Hivi kwa akili za kawaida unafikiri Wamerikani pamoja na jeuri yao wangeziachia ndege za Urusi zitambe mbele ya destroyer yao 4 two days wanaziangalia tu - Wachina leo wamesema kisa hicho kimewa humiliate Marekani for the second time - ni kweli.

Narudia kukumbusha members kwamba zoezi hilo lilichukua siku mbili mfululizo, mbona Wamerikani hawakufanya lolote hata kujaribu fufyatua warning shot au flare, badala yake unawasikia kwenye video clip wanazungumza kwa sauti ya woga wakiwa kwenye bridge/deck - mara, oh jamani ndege hizo zinakuja angalia upande wa kushoto - woga kama nini.

Hapa Wamarekani wanajifanya meli yao ilikuwa kwenye safari za kawaida hiyo sio kweli mission ya Marekani kwenda Baltic sea ni kutaka kujaribu kutumia ECM zao kudhibiti za Warusi au ku scan frequence band zinazotumiwa na system za Urusi halafu baadae waenda wakazi study na kutafuta mbinu kuzidisable, mambo yanavyo onekana mission ya kipelelezi imeprove kuwa abortive ndio maana walibaki kuwa watazamaji/palysed communicationwise kwa siku mbili mfululizo - Marekani hawezi kukili ukweli huo, Warusi wanavyo jiamini walikaa kimya bila kutangaza kisa hicho kwenye media za kwao au nchi za nje, vyombo vya habari vya nchi za magharibi ndio vilihamua ku-break the news finally - swali ni: KWA NINI?

Leo hii Marekani wanakuja na a reconciliatory TONE, eti oh unajua mambo haya ni hatari sana uwezi jua kungetokea nini eventuary, eti pasije pakatokea miscalculation kwa bahati mbaya watu wakaumia au kufa, Wamarekani hawazungumzii tena masuala ya vita au utunishaji misuli - wanataka eti pawepo mawasiliano ya mara kwa mara na Urusi kwa njia ya kidiplomasia au kijeshi kujaribu kudhibiti uwezekano wa kutokea accident!! What a U turn 4 the YANKEES - kuna kitu pale si bure.

Mengi uliyoyaandika ni kweli kabisa, ila nataka nikuambie ukweli kuwa, Marekani haiiogopi Russia, bali inaogopa Vita vya nuclear endapo urusi ikishambuliwa na marekani, basi ni lazima itatumia nuclear, Kwa sasa marekani inafanya maandalizi makubwa Sana ya vifaa vya kujikinga na hewa ya nuclear Kwa raia wake wote, na bajeti tayari imeshatolewa, zoezi hilo likikamilika halafu mrusi awachokoze nyie washabiki wake mtamwonea huruma.
Ni kweli urusi ana jeshi zuri Sana, ila marekani wana ziada nzuri Sana ya jeshi na uchumi bora mno kulinganisha na mrusi.
jambo ulilosahau kulielezea ni kuwa, urusi inatafuta vita kuu ya lll Kwa nguvu, ikiamini kuwa marekani itaanguka na yenyewe kuja juu.
Hapo inatumia kigezo cha marekani kuwa na maadui wengi wa Siri na wa uwazi China,North Korea ,Iran itaongoza magaidi kuishambulia marekani na hasa maslahi yake ambayo ndo nguzo yake kiiuchumi. Na baadhi ya mataifa ya ulaya mashariki yatakuwa upande wa Russia.
Marekani inajua consequences za kujibu mapigo dhidi ya Russia, na ndo maana ipo kimya ikipanga mbinu za kujihami, inajua lengo la urusi na nini wamelenga, urusi ina hasira na marekani Sana tangu CIA walipofanya yao na kuisambaratisha soviet russia union .
Huo ndo ukweli, Vita kuu ya lll ya dunia yaja ,dunia italia mno, marekani anajua hayo ndo maana anajifanya mjinga anajipanga ili aje ashinde Kwa kishindo na aendelee kuitawala dunia, maana anajua kuwa asipojipanga inakula kwake, maana itakuwa nuclear war.
 
MKITAKA KUJUA RUSSIA NI WATU WA AINA GANI WAULIZE ISIS
 
urusi, korea kaskazini, zimbabwe hizi nchi zinapenda sana kutafuta umaarufu wa kijinga lakini hazina lolote, waige jinsi ya kupata umaarufu kwa US, CHINA, JAPAN, S.KOREA, GERMANY, nk
embu na wewe acha kutafuta umaarufu wa kijinga maana huna lolote unalolijua kuhusiana na mada uliyoiwasilisha hapa..
 
sikuelewa uturuki walijivunia nini maana nao walivimba kweli...putin alitaka waombe msamaha kuwa wamefanya makosa wao wakakomaa kuwa wapo sawa kwa kuwa waliingiliwa ukiangalia nguvu za kijeshi hawapo sawa..mrusi yupo juu ila kwa hawa USA hapana Mrusi anasubiri sana tuu sio kidogo..
Huenda Putin anafikiria alipize vipi hilo tukio ,hawa jamaa wa Kremlin sio wakuaminika sana
Wameshaanza kwa kuwawekea vikwazo Turkey ni swala la muda tu Turkey watajutia kutungua ndege ya Mrusi
 
We mlevi nini, maana mlevi hana kosa wakati kalewa, au utakuwa shoga, maan hata haki yako huijui.
naona umecoment ukiwa umekalia kitu chenye ncha kali afu kina joto, hilo tu ndo tatizo lako!
 
Huo ndo ukweli, Vita kuu ya lll ya dunia yaja ,dunia italia mno, marekani anajua hayo ndo maana anajifanya mjinga anajipanga ili aje ashinde Kwa kishindo na aendelee kuitawala dunia, maana anajua kuwa asipojipanga inakula kwake, maana itakuwa nuclear war.
Kama hizi taarifa wewe unazo na unazijua kiundani basi majasusi wa Urusi wanazijua nyingi zaidi na wanajua nini wanafanya,wanajua uwezo wa U.S na madhaifu yao hadi kadhalika U.S nao wanajua ya Russia.Sometimes mtu anaweza kujiamini kupigana na mtu mwingine kwa kuamini nguvu zake na udhaifu wa mwenzake either kwa kuwa sahihi au kuwa wrong.Sisi hapa wote hakuna ajuaye lolote kati ya hizi nchi bali tunazungzia experiance about the past hasa katika vita za nchi ndogo ila si kwa ma-giant wenyewe kwa wenyewe,tuendelee kufurahisha genge tu hapa.Thats all.
 
Kama hizi taarifa wewe unazo na unazijua kiundani basi majasusi wa Urusi wanazijua nyingi zaidi na wanajua nini wanafanya,wanajua uwezo wa U.S na madhaifu yao hadi kadhalika U.S nao wanajua ya Russia.Sometimes mtu anaweza kujiamini kupigana na mtu mwingine kwa kuamini nguvu zake na udhaifu wa mwenzake either kwa kuwa sahihi au kuwa wrong.Sisi hapa wote hakuna ajuaye lolote kati ya hizi nchi bali tunazungzia experiance about the past hasa katika vita za nchi ndogo ila si kwa ma-giant wenyewe kwa wenyewe,tuendelee kufurahisha genge tu hapa.Thats all.
 
View attachment 338602
Meli ya jeshi la Marekani

Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni nchini Marekania John Kerry, amesema kuwa jeshi la wanamaji la nchi hiyo lilikuwa na haki ya kudungua ndege za urusi, zilizoruka karibu na meli ya jeshi la marekani katika bahari ya Baltic.

Kamanda wa meli hiyo ya USS Donald Cook, alisema kuwa ndege za jeshi la Urusi zilikaribia chombo chake siku ya Jumatatu.

Bwana kerry amezitaja hauatua hizo kama uchokozi na hatari. Amesema kuwa marekani haiwezi kudhulumiwa baharini.

Waziri wa ulinzi nchini Urusi kwa upande wake amesema kuwa meli hiyo ya Marekani ilipita karibu na kambi ya jeshi la wanamaji wa Urusi na ndege zake zilifuata sheria.


Chanzo: BBC

My Take: Hapa ndo maana nawakubali sana uturuki!
Kwani mlikuwa hamjui kuwa Marekani ni waoga sana?
Ingekuwa ndege ya iraq au afganistani au ya Libya wangeidungua mara moja..
USA baby..cc nyani ngabu
 
Kama hizi taarifa wewe unazo na unazijua kiundani basi majasusi wa Urusi wanazijua nyingi zaidi na wanajua nini wanafanya,wanajua uwezo wa U.S na madhaifu yao hadi kadhalika U.S nao wanajua ya Russia.Sometimes mtu anaweza kujiamini kupigana na mtu mwingine kwa kuamini nguvu zake na udhaifu wa mwenzake either kwa kuwa sahihi au kuwa wrong.Sisi hapa wote hakuna ajuaye lolote kati ya hizi nchi bali tunazungzia experiance about the past hasa katika vita za nchi ndogo ila si kwa ma-giant wenyewe kwa wenyewe,tuendelee kufurahisha genge tu hapa.Thats all.
 
Kwani mlikuwa hamjui kuwa Marekani ni waoga sana?
Ingekuwa ndege ya iraq au afganistani au ya Libya wangeidungua mara moja..
USA baby..cc nyani ngabu
peleka kalio lako pale ubalozini kwao na vibomu vyenu vya kujitoa mhanga afu uone kama ni waoga ama la
 
Walishindwa kutungua walijua kitanuka...pia Russia haikukosea haha...may be
 
Na wewe peleka K yako kwenye ubalozi hatabwa somalia na kibomu chako uone
kwan mie nisema wasomali waoga?! we peleka hiyo 071 yako pale uone, si waoga! labda wanaweza wasiile
 
Wakubwa hawapigan kijinga madhara yatakuwa makubwa.Turkey ni katoto kadogo
 
Back
Top Bottom