Kerry: Tungedungua ndege za Urusi

Kerry: Tungedungua ndege za Urusi

Huyu jamaa sijui kinamuuma nini mimi kuiponda USA
yaa ni vizuri kuongea unavyoona wewe kwa hakuna hapa alie katika jeshi la USA au Urusi ni mitazamo yetu tuu ila vita ni kitu kingine msifike kutukanana Wakuu kwa sababu ya USA na Urusi..
 
kwan mie nisema wasomali waoga?! we peleka hiyo 071 yako pale uone, si waoga! labda wanaweza wasiile
hoya na mwenzio black bat mnazingua maana mshatoka nje ya thread km vp nendeni pm mtukanane mkimaliza mrudi
 
Back
Top Bottom