Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 21,815
- 44,720
Bukyanagandi meli iyumbe yumbe kwa kupita ndege mbili angani duu..
GPS, radio & navigation systems were jammed,...Bukyanagandi meli iyumbe yumbe kwa kupita ndege mbili angani duu..
Wewe Jamaa unapenda sana Vita hujui hata madhara yake??apeleke tena kadege kake anga ya uturuki, mbona kwenye navy ya marekani wamerudiarudia?! tatizo marekani anawalealea mno!
Umeshawahi kuona Simba na Chui wakidhuriana kwenye jangle.The same like that.Hawa watu hawakosi malumbano na vikao kila baada ya muda na kisha visa vya mikwara vinaanza tena, wenye ujuzi nifungulieni hili.......kwa nini Russia anaonekana kutoiogopa America pamoja na kwamba linachukuliwa ndio taifa lenye nguvu duniani huku likiwa na umoja wa Nato uliosambaratisha tawala nyingi?
Kwa nini America kote hana mzaha ila kwa Russia anaonyesha nidhamu ya woga?
Naomba uelewa wakongwe wa duru za kimataifa
Russia is not a global power but it's a regional powerSijawahi kusikia marekani wakikandia uwezo wa kijeshi wa warusi hata siku moja, ila kwa warusi kuponda US ni mara nyingi tu.
Marekani huwa wako smart sana kwenye kila jambo ndio maana nashangaaga watu kuto quation habari za kujivua nguo zinazotoka jikoni kwao wenyewe kuzibeba na kuziamini kama zilivyo.
HAWAJAWAHI KUWA WAPUMBAVU KIASI HIKI TUMIENI AKILI.
America inatambulika kivita ila kama wapo dizain ya simba na chui, basi inaonekana Urusi nayo sio mchezo......pamoja mkuuUmeshawahi kuona Simba na Chui wakidhuriana kwenye jangle.The same like that.
Hahaha kama vile ulikua kichwani Kwangu vile , hahahBukyanagandi meli iyumbe yumbe kwa kupita ndege mbili angani duu..
urusi, korea kaskazini, zimbabwe hizi nchi zinapenda sana kutafuta umaarufu wa kijinga lakini hazina lolote, waige jinsi ya kupata umaarufu kwa US, CHINA, JAPAN, S.KOREA, GERMANY, nkMarekani haiwezi kuthubutu kufanya lolote, makeke tu na majigambo wanaonea nchi ndogo tu hata Taifa kama Korea ya kasikazini inaweza kuitoa kamasi itakuwa Urusi, kama wangekuwa wanajiamini mbona jetfighters za Urusi zilikuwa zinakatiza kwa kasi hardly 50 above water mpaka Wamarekani wakalalamika kwamba sonic boom/wake ilifanya meli nzima ianze kuyumba yumba si hilo tu Urusi irusha a subsonic Helicopter ya kipelelezi ikapiga picha Destroyer walikaa angani kwa muda walio taka wenyewe Uncle SAM didn't attempt to stop them or did they?
Kisa hiki kinatufanya tubaki tunajiuliza maswali mengi? Kwa nini Marekani analalamika kwamba walijaribu kuwasiliana na marubani wa kirusi kwa kutumia frequency za kimataifa bila mafanikio, je marubani wa Warusi walizima radio zao/transponders zao wakiwa na lengo gani?
Je Wamarekani wanaeleza kila kitu kilicho wasibu kwa siku mbili mfululizo mfano Destroyer yao kukumbwa na ukosefu wa mawasiliano i.e kuzimwa kwa system zao za kielectronic kutoka kwenye a land based Jammer tukiweka maanani kwamba meli ilikuwa umbali wa 50 nautical miles kutoka pwani ya Urusi, wenzetu wana aiborne, landbased fixed na mobile radio jammers - juzi juzi hapa Korea ya Kusini na Marekani walilakamika kwamba Korea Kasikasizi umejamm mawimbi ya GPS yanayo tumika kuongozea smart bombs zao kwenye targets na mambo mengine nyeti, Wamarekani wanailahumu Urusi kwamba ndiyo iliwahuzia Korea kasikazini mitambo mobile ya ku jamm mawasiliano - ndio maana nasema Wamarekani hawatuelezi kila kitu kilicho wasibu kwa siku mbili mfulululizo!!
Hivi kwa akili za kawaida unafikiri Wamerikani pamoja na jeuri yao wangeziachia ndege za Urusi zitambe mbele ya destroyer yao 4 two days wanaziangalia tu - Wachina leo wamesema kisa hicho kimewa humiliate Marekani for the second time - ni kweli.
Narudia kukumbusha members kwamba zoezi hilo lilichukua siku mbili mfululizo, mbona Wamerikani hawakufanya lolote hata kujaribu fufyatua warning shot au flare, badala yake unawasikia kwenye video clip wanazungumza kwa sauti ya woga wakiwa kwenye bridge/deck - mara, oh jamani ndege hizo zinakuja angalia upande wa kushoto - woga kama nini.
Hapa Wamarekani wanajifanya meli yao ilikuwa kwenye safari za kawaida hiyo sio kweli mission ya Marekani kwenda Baltic sea ni kutaka kujaribu kutumia ECM zao kudhibiti za Warusi au ku scan frequence band zinazotumiwa na system za Urusi halafu baadae waenda wakazi study na kutafuta mbinu kuzidisable, mambo yanavyo onekana mission ya kipelelezi imeprove kuwa abortive ndio maana walibaki kuwa watazamaji/palysed communicationwise kwa siku mbili mfululizo - Marekani hawezi kukili ukweli huo, Warusi wanavyo jiamini walikaa kimya bila kutangaza kisa hicho kwenye media za kwao au nchi za nje, vyombo vya habari vya nchi za magharibi ndio vilihamua ku-break the news finally - swali ni: KWA NINI?
Leo hii Marekani wanakuja na a reconciliatory TONE, eti oh unajua mambo haya ni hatari sana uwezi jua kungetokea nini eventuary, eti pasije pakatokea miscalculation kwa bahati mbaya watu wakaumia au kufa, Wamarekani hawazungumzii tena masuala ya vita au utunishaji misuli - wanataka eti pawepo mawasiliano ya mara kwa mara na Urusi kwa njia ya kidiplomasia au kijeshi kujaribu kudhibiti uwezekano wa kutokea accident!! What a U turn 4 the YANKEES - kuna kitu pale si bure.
Hizo nchi zinapendaje huo umaarufu wa kijinga toka kwa marekani mkuu???urusi, korea kaskazini, zimbabwe hizi nchi zinapenda sana kutafuta umaarufu wa kijinga lakini hazina lolote, waige jinsi ya kupata umaarufu kwa US, CHINA, JAPAN, S.KOREA, GERMANY, nk
urusi anaigopa sana US kuliko kitu chochote kile, hiyo mikwala hata tanzania tunaweza piga, au huoni north korea, iran au mgabe anavyotukanaga western lakin hawana time nao? ili uone hasira za US gusa maslahi yao lazima uisome namba. US hapiganagi vita vya hasara hata siku moja, ni deal tuHawa watu hawakosi malumbano na vikao kila baada ya muda na kisha visa vya mikwara vinaanza tena, wenye ujuzi nifungulieni hili.......kwa nini Russia anaonekana kutoiogopa America pamoja na kwamba linachukuliwa ndio taifa lenye nguvu duniani huku likiwa na umoja wa Nato uliosambaratisha tawala nyingi?
Kwa nini America kote hana mzaha ila kwa Russia anaonyesha nidhamu ya woga?
Naomba uelewa wakongwe wa duru za kimataifa
America inatambulika kivita ila kama wapo dizain ya simba na chui, basi inaonekana Urusi nayo sio mchezo......pamoja mkuu
hiv wewe unafikir ukiikoromea mfano tz au namibia nan atakujua?! koromea US ndo dunia itakujua. ili ujulikane usinituka mie mtukane magufuli ili tanzanie ikujue kama yule wa arushaHizo nchi zinapendaje huo umaarufu wa kijinga toka kwa marekani mkuu???
marekani, china, japan, south korea, nk wako kipesa zaidi, hawanaga huo upuuzi wa kupoteza muda wa bureSijawahi kusikia marekani wakikandia uwezo wa kijeshi wa warusi hata siku moja, ila kwa warusi kuponda US ni mara nyingi tu.
Marekani huwa wako smart sana kwenye kila jambo ndio maana nashangaaga watu kuto quation habari za kujivua nguo zinazotoka jikoni kwao wenyewe kuzibeba na kuziamini kama zilivyo.
HAWAJAWAHI KUWA WAPUMBAVU KIASI HIKI TUMIENI AKILI.
ubishi gan? hakuna unachojua ww kaa kimya, syria hata jwtz inaweza kurushu ndege zao za kivita, ni kutoa taarifa tu kwa wadau wengine waliopo pale, syria sasa haicontrol anga zake. hata kesho magufuli akisema IS wanatishia usalama tz hivyo anatuma ndege kwenda kushambulia, ni kuwajuza tu wadau anaanza kaziHeeeh, makubwa, sikujua kuwa kumbe kuna ubishi wa kiwango hiki
ubishi gan? hakuna unachojua ww kaa kimya, syria hata jwtz inaweza kurushu ndege zao za kivita, ni kutoa taarifa tu kwa wadau wengine waliopo pale, syria sasa haicontrol anga zake. hata kesho magufuli akisema IS wanatishia usalama tz hivyo anatuma ndege kwenda kushambulia, ni kuwajuza tu wadau anaanza kazi