Kero zetu zifikishe mbinguni

mgeni wenu

JF-Expert Member
Jan 2, 2012
3,664
1,730
Mh:Hayati Regia Estelatus(doto)Mtema,ni Majuzi tu umekusanya Kero zetu kwa ajili ya kuzipeleka Bungeni na pia ulisaema utazisemea nje ya Bunge,Ombi letu kwako ni kama kwa aina yeyote unasoma hii Thread basi peleka kero zoote ulizokusanya Mbinguni,yawezekana ni mipango ya Mungu kukutuma tukupe Kero zetu ili zifike Kwake,wana Jamvi msilie sana sasa tuna Mwakilishi hadi Mbinguni wana Chadema angalau CHACHA WANGWE amempata mtu wa CHAMA CHAKE naamini sasa CHADEMA ipo mbinguni pia..
Mjulishe baba wa Taifa kuwa sasa CHAMA CHAKE hakina mvuto tena hata wa uzao wake Wapo CHADEMA,na Makongoro pia Mafisadi hawamtaki CCM amekuwa mwiba mkali kwao,pia Mwambie Sokoine amtokee mwanawe Namelock ajiunge na Watanzania,Tuna Mmiss Kawawa..mengi najua umeondoka Nayo na utayafikisha.....
RIP Regia
 
Hakika tumepata pigo mhe.mtema aliwapenda mno watanzania(soma mabandiko yake between lines utaona)lakin mungu kampenda zaidi tusimpe kaz ya kwenda shitaki bali tumwombe apate pumziko jema na la milele amina.
 
Back
Top Bottom