Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,871
- 6,468
Asante kwa taarifa mkuu unaewanunuliaga Data na Mb's za vifurushi ...niseme itifaki imezingatiwa
Sijui binadamu mkoje yaani furaha ya mtu mnaingilia kwani umelazimishwa kuview.Well nadhani mko poa
Kuna wataalam wa kuweka stAtus kila siku
Unakuta ni mtu mzima tu anajielewa lakini anavyovipost havina kichwa Wala miguu/haviendani nae
Kuna mabingwa wa kuweka sijui wanaita "memes" upuuzi mtupu
Kuna mabingwa wa kujaza post nyingii hadi kwenye kile ki-cirle inaoneokana vinukta nukta ,,huo mda unautoa wapi ? Hivi kuna mtu anakaa ana-view zote?
Kuna mtu anapost real-life yake status, akigombana na mwenzie tu kaweka, akienda outing kidogo tu anapost,,, Yan kila kitu anaweza hadharani, huu ni uzwazwa kiwango cha lami
Kuna mabingwa wa kupost quotes za Bible n.k kila mda kaweka hiki, utadhan anamjua Sana Mungu kumbe ukimuongalia matendo yake na yako wote watenda dhambi tu.
Hapa sijazungumzia wale wanaoandika "vizungu" feki, mtu anakoroga mpaka unasema hivi angetumia kiswahili ujumbe si ungefika tu?
Ni kero gani inaudhi status ambayo huipendi ? Unakuta mtu ni mshkaji/rafk au mnaheshimiana Sana lakini kumuambia aache ujinga unashindwa namna ya kumuanza.
Wasalaam kwa jina la Jamhuri.
Huwa naangalia status za watu makini wanaorusha madini, wasiojilewa huwa nawa "MUTE" zisitokee kwanguWell nadhani mko poa
Kuna wataalam wa kuweka stAtus kila siku
Unakuta ni mtu mzima tu anajielewa lakini anavyovipost havina kichwa Wala miguu/haviendani nae
Kuna mabingwa wa kuweka sijui wanaita "memes" upuuzi mtupu
Kuna mabingwa wa kujaza post nyingii hadi kwenye kile ki-cirle inaoneokana vinukta nukta ,,huo mda unautoa wapi ? Hivi kuna mtu anakaa ana-view zote?
Kuna mtu anapost real-life yake status, akigombana na mwenzie tu kaweka, akienda outing kidogo tu anapost,,, Yan kila kitu anaweza hadharani, huu ni uzwazwa kiwango cha lami
Kuna mabingwa wa kupost quotes za Bible n.k kila mda kaweka hiki, utadhan anamjua Sana Mungu kumbe ukimuongalia matendo yake na yako wote watenda dhambi tu.
Hapa sijazungumzia wale wanaoandika "vizungu" feki, mtu anakoroga mpaka unasema hivi angetumia kiswahili ujumbe si ungefika tu?
Ni kero gani inaudhi status ambayo huipendi ? Unakuta mtu ni mshkaji/rafk au mnaheshimiana Sana lakini kumuambia aache ujinga unashindwa namna ya kumuanza.
Wasalaam kwa jina la Jamhuri.
Mute inatoshaKama unakereka na status futa namba mkuu, hutoziona tena
Well nadhani mko poa
Kuna wataalam wa kuweka stAtus kila siku
Unakuta ni mtu mzima tu anajielewa lakini anavyovipost havina kichwa Wala miguu/haviendani nae
Kuna mabingwa wa kuweka sijui wanaita "memes" upuuzi mtupu
Kuna mabingwa wa kujaza post nyingii hadi kwenye kile ki-cirle inaoneokana vinukta nukta ,,huo mda unautoa wapi ? Hivi kuna mtu anakaa ana-view zote?
Kuna mtu anapost real-life yake status, akigombana na mwenzie tu kaweka, akienda outing kidogo tu anapost,,, Yan kila kitu anaweza hadharani, huu ni uzwazwa kiwango cha lami
Kuna mabingwa wa kupost quotes za Bible n.k kila mda kaweka hiki, utadhan anamjua Sana Mungu kumbe ukimuongalia matendo yake na yako wote watenda dhambi tu.
Hapa sijazungumzia wale wanaoandika "vizungu" feki, mtu anakoroga mpaka unasema hivi angetumia kiswahili ujumbe si ungefika tu?
Ni kero gani inaudhi status ambayo huipendi ? Unakuta mtu ni mshkaji/rafk au mnaheshimiana Sana lakini kumuambia aache ujinga unashindwa namna ya kumuanza.
Wasalaam kwa jina la Jamhuri.
Acha watu na maisha yao yatakupasua kichwa
Sikupingi babaakeBro ishi maisha yako.
Watu wenye chuki na maisha ya watu ndo kama nyie.
Mtu akipost mambo ya maendeleo yake, au mambo ya maana hamtaki kuona anafanya vizuri mtaleta nuksi,
Mtu akipost picha zake yuko sehem nzuri anakula bata mtaleta nuksi. Sasa kuwa komesha haters kama nyiee mambwa.. wacha wawapostie ujinga.. ili muwaone wajinga hawana michongo, kumbe wajinga ni nyie mnaochukia mnayo yaona.
Sasa una mind status za watu we za nini kwa mfano..? Hutaki kuona ujinga unaenda kuangaliaa za nini....? Man Up
Labda anataka mpost infinitesimal calculus.Sasa tupost vitu gani?