kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,156
- 15,807
Well nadhani mko poa
Kuna wataalam wa kuweka stAtus kila siku
Unakuta ni mtu mzima tu anajielewa lakini anavyovipost havina kichwa Wala miguu/haviendani nae
Kuna mabingwa wa kuweka sijui wanaita "memes" upuuzi mtupu
Kuna mabingwa wa kujaza post nyingii hadi kwenye kile ki-cirle inaoneokana vinukta nukta ,,huo mda unautoa wapi ? Hivi kuna mtu anakaa ana-view zote?
Kuna mtu anapost real-life yake status, akigombana na mwenzie tu kaweka, akienda outing kidogo tu anapost,,, Yan kila kitu anaweza hadharani, huu ni uzwazwa kiwango cha lami
Kuna mabingwa wa kupost quotes za Bible n.k kila mda kaweka hiki, utadhan anamjua Sana Mungu kumbe ukimuongalia matendo yake na yako wote watenda dhambi tu.
Hapa sijazungumzia wale wanaoandika "vizungu" feki, mtu anakoroga mpaka unasema hivi angetumia kiswahili ujumbe si ungefika tu?
Ni kero gani inaudhi status ambayo huipendi ? Unakuta mtu ni mshkaji/rafk au mnaheshimiana Sana lakini kumuambia aache ujinga unashindwa namna ya kumuanza.
Wasalaam kwa jina la Jamhuri.
Kuna wataalam wa kuweka stAtus kila siku
Unakuta ni mtu mzima tu anajielewa lakini anavyovipost havina kichwa Wala miguu/haviendani nae
Kuna mabingwa wa kuweka sijui wanaita "memes" upuuzi mtupu
Kuna mabingwa wa kujaza post nyingii hadi kwenye kile ki-cirle inaoneokana vinukta nukta ,,huo mda unautoa wapi ? Hivi kuna mtu anakaa ana-view zote?
Kuna mtu anapost real-life yake status, akigombana na mwenzie tu kaweka, akienda outing kidogo tu anapost,,, Yan kila kitu anaweza hadharani, huu ni uzwazwa kiwango cha lami
Kuna mabingwa wa kupost quotes za Bible n.k kila mda kaweka hiki, utadhan anamjua Sana Mungu kumbe ukimuongalia matendo yake na yako wote watenda dhambi tu.
Hapa sijazungumzia wale wanaoandika "vizungu" feki, mtu anakoroga mpaka unasema hivi angetumia kiswahili ujumbe si ungefika tu?
Ni kero gani inaudhi status ambayo huipendi ? Unakuta mtu ni mshkaji/rafk au mnaheshimiana Sana lakini kumuambia aache ujinga unashindwa namna ya kumuanza.
Wasalaam kwa jina la Jamhuri.