Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Wala urojo wanatunyoosha kweli kweli awamu hii!Shamba la Bibi limekosa mlinzi !
Wala urojo wanatunyoosha kweli kweli awamu hii!Shamba la Bibi limekosa mlinzi !
eo ni Sikukuu ya Muungano, nachukua fursa hii kuutafakari Muungano wetu adhimu, kupitia hoja mbalimbali za kimuungano.Wengine unatuonea bure! Umewahi kukutana na bandiko hhili
"Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Wanabodi, Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia Suluhu Hassan anauzungumzia Muungano, kiukweli huyu Mama Samia anauzumguza vizuri muungano huku...www.jamiiforums.com
Kasome baadhi ya kero zilizo tatuliwa.
Pasco
MEI 3 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa vyombo vya habari, Mimi Pascal Mayalla, kwa niaba yangu kama mwanahabari ambaye ni mwandishi wa habari huru na wa kujitegemea kwa kujitolea na kwa niaba ya kampuni yangu ya PPR as chombo huru cha habari, niwatakie wanahabari wenzangu wote, maadhimisho mema ya siku hii, huku nikidurusu, niliwahi kusema nini kuhusu uhuru wa habari kwa media zetu za Tanzania yetu.Wengine unatuonea bure! Umewahi kukutana na bandiko hhili "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Kasome baadhi ya kero zilizo tatuliwa.
Pasco
Leo tunapo adhimisha miaka 60 ya huu muungano wetu adhimu, nafanya tafakuri, niliwahi kuandika nini humu kuhusu muungano wetu.Wengine unatuonea bure! Umewahi kukutana na bandiko hhili "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Kasome baadhi ya kero zilizo tatuliwa.
Pasco
That why???🙄Tafuta mwenyewe kupitia jukwaa la siasa, nowdays mmekuwa watu wa kutafuniwa kila kitu 🙁!.
That why unakuta mnaanzisha mada moja watu sita, sababu hamna muda wa story search!.