Kero ya mafuta ya petrol Moshi mjini

Kero ya mafuta ya petrol Moshi mjini

MATATA2011

Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
20
Reaction score
2
Hapa moshi mjini, nimezunguka vituo vya GAPCO, NGILOI Petrol station, BP Petroleum nimekosa PETROL,nimekuta kibandiko kwenye shell husika kikisomeka hivi " NO PETROL" hali ni mbaya kabisa. Tatizo ni kubwa,hivo katika kuulizia kwa nini hakuna mafuta,si mhudumu yeyote aliyekuwa tayari kusema tatizo ni nini. lakini kwa mbali nimenusa harufu ya mgomo baridi kwani katika kuulizia nimeambiwa inaonekana mafuta yapo ila wamiliki walio wengi wa vituo vya mafuta wanataka bei iongezeke zaidi. Jamani tunaenda wapiii???........! but nimesikia pia kuna vituo fulani vinayo mafuta ngoja nitafuatilia ila kabajaji kangu kameishiwa kama sitavutwa na break down leo sijui....!
 
Nenda kwenye kituo cha kuuzia mafuta cha mtoto wa mkulu.
 
Kiborilon kuna petrol station inauza mafuta. Hii ni temporly tu kwa sababu ya shortage ya mafuta mjini hapa. Hamna chembe ya mgomo
 
nenda Rahisi petrol station kiboriloni kwa mzee Ndesamburo utapata mafuta
 
Hapa moshi mjini, nimezunguka vituo vya GAPCO, NGILOI Petrol station, BP Petroleum nimekosa PETROL,nimekuta kibandiko kwenye shell husika kikisomeka hivi " NO PETROL" hali ni mbaya kabisa. Tatizo ni kubwa,hivo katika kuulizia kwa nini hakuna mafuta,si mhudumu yeyote aliyekuwa tayari kusema tatizo ni nini. lakini kwa mbali nimenusa harufu ya mgomo baridi kwani katika kuulizia nimeambiwa inaonekana mafuta yapo ila wamiliki walio wengi wa vituo vya mafuta wanataka bei iongezeke zaidi. Jamani tunaenda wapiii???........! but nimesikia pia kuna vituo fulani vinayo mafuta ngoja nitafuatilia ila kabajaji kangu kameishiwa kama sitavutwa na break down leo sijui....!

Ee bwanae! kuna sehemu nyingine nimefika wanajidai eti pump za mafuta zimeharibika! huo ni ujanja au ni ujinga mtupu? any way! siku hizi watanzania wengi hatujui tunakokwenda!
 
Back
Top Bottom