KERO Kero: Wahudumu wa shoppers Arusha mna kauli chafu

KERO Kero: Wahudumu wa shoppers Arusha mna kauli chafu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,457
Reaction score
65,765
Shoppers sikuizi wahudumu wenu wana wajali sana wazungu kuna ka ubaguzi pia wahudumu wana lugha chafu una uliza ili upate kujua ila unajibiwa kama una fukuzwa kwamba usirudi tena hapa

Ipo hivi mimi nilikuwa nimeingia nimenunua vitu vyote sasa nikawa natafuta zile manda za sambusa sizioni ila naona manda zile ambazo sio za sambusa nika muita maana hapo nilikuwa nisha choka nika muuliza vip manda za sambusa sizion leo zimeisha au mmeamisha eneo ana nijibu ujui kusoma mkaka mzuri af ujui kusoma dah nikawa cool tu na muangalia aka niacha akaenda kwa wazungu

Alipo malizana nao nikamuita tena naomba nielekeze nitapata wapi manda aka nionyesha ambazo nipana ukifika uanze kuzikata nikamuuliza jinsi ya kuzikta ana niambia una weza chukua panga ukazikata dah nikaondoka kwa hasira nikawaachia vitu vyao nikaenda tafuta super market nyingine
 
Shoppers sikuizi wahudumu wenu wana wajali sana wazungu kuna ka ubaguzi pia wahudumu wana lugha chafu una uliza ili upate kujua ila unajibiwa kama una fukuzwa kwamba usirudi tena hapa

Ipo hivi mimi nilikuwa nimeingia nimenunua vitu vyote sasa nikawa natafuta zile manda za sambusa sizioni ila naona manda zile ambazo sio za sambusa nika muita maana hapo nilikuwa nisha choka nika muuliza vip manda za sambusa sizion leo zimeisha au mmeamisha eneo ana nijibu ujui kusoma mkaka mzuri af ujui kusoma dah nikawa cool tu na muangalia aka niacha akaenda kwa wazungu

Alipo malizana nao nikamuita tena naomba nielekeze nitapata wapi manda aka nionyesha ambazo nipana ukifika uanze kuzikata nikamuuliza jinsi ya kuzikta ana niambia una weza chukua panga ukazikata dah nikaondoka kwa hasira nikawaachia vitu vyao nikaenda tafuta super market nyingine
Unatuchosha bure.

Mrekebishe Mama yenu ndio hao watakjirekebisha!
 
Hapo ni wafanya kazi wa supermarket na mishahara yao ya laki mbili ndio wana dharau hivyo? Je wangekuwa kwenye taasisi zenye mishahara mikubwa si tungekoma?
Anyway, msamehe tu wadada watoa huduma huwa wanadhani kila mwanaume anawataka ndio maana wana behave kiajabu ajabu🚮🚮🚮
 
Hapo ni wafanya kazi wa supermarket na mishahara yao ya laki mbili ndio wana dharau hivyo? Je wangekuwa kwenye taasisi zenye mishahara mikubwa si tungekoma?
Anyway, msamehe tu wadada watoa huduma huwa wanadhani kila mwanaume anawataka ndio maana wana behave kiajabu ajabu🚮🚮🚮
Sasa mdada mwenyewe bonge af mweupe tangu niwaonje black siwataki tena weupe
 
Front-desk etiquette is an anathema to African women. It's a rampant disease all over Africa.

They can't smile. They are not straightforward. They have deep insecurities about their looks. They can focus on a single task due to chronic ADHD. On top of that most of them are boring and unintelligent.

Siku nyingine usimchekee, lala naye mbele.​
 
Shoppers sikuizi wahudumu wenu wana wajali sana wazungu kuna ka ubaguzi pia wahudumu wana lugha chafu una uliza ili upate kujua ila unajibiwa kama una fukuzwa kwamba usirudi tena hapa

Ipo hivi mimi nilikuwa nimeingia nimenunua vitu vyote sasa nikawa natafuta zile manda za sambusa sizioni ila naona manda zile ambazo sio za sambusa nika muita maana hapo nilikuwa nisha choka nika muuliza vip manda za sambusa sizion leo zimeisha au mmeamisha eneo ana nijibu ujui kusoma mkaka mzuri af ujui kusoma dah nikawa cool tu na muangalia aka niacha akaenda kwa wazungu

Alipo malizana nao nikamuita tena naomba nielekeze nitapata wapi manda aka nionyesha ambazo nipana ukifika uanze kuzikata nikamuuliza jinsi ya kuzikta ana niambia una weza chukua panga ukazikata dah nikaondoka kwa hasira nikawaachia vitu vyao nikaenda tafuta super market nyingine
Wewe unaendaje kununua kitu usichojua namba ya kukipika?
 
Front-desk etiquette is an anathema to African women. It's a rampant disease all over Africa.

They can't smile. They are not straightforward. They have deep insecurities about their looks. They can focus on a single task due to chronic ADHD. On top of that most of them are boring and unintelligent.

Siku nyingine usimchekee, lala naye mbele.​
Mimi napenda peace
 
Back
Top Bottom